Books
Chapters
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi 125 Swahili & English
Listen/Download AudioZaburi 125 (Swahili) | Psalms 125 (English) |
---|---|
Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele. Zaburi 125:1 |
> Those who trust in Yahweh are as Mount Zion, Which can't be moved, but remains forever. |
Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu, Ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake, Tangu sasa na hata milele. Zaburi 125:2 |
As the mountains surround Jerusalem, So Yahweh surrounds his people from this time forth and forevermore. |
Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya fungu la wenye haki; Wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu. Zaburi 125:3 |
For the scepter of wickedness won't remain over the allotment of the righteous; So that the righteous won't use their hands to do evil. |
Ee Bwana, uwatendee mema walio wema, Nao walio wanyofu wa moyo. Zaburi 125:4 |
Do good, Yahweh, to those who are good, To those who are upright in their hearts. |
Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, Bwana atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli. Zaburi 125:5 |
But as for those who turn aside to their crooked ways, Yahweh will lead them away with the workers of iniquity. Peace be on Israel. |