Zaburi 34 Swahili & English
Listen/Download AudioZaburi 34 (Swahili) | Psalms 34 (English) |
---|---|
Nitamhimidi Bwana kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima. Zaburi 34:1 |
> I will bless Yahweh at all times. His praise will always be in my mouth. |
Katika Bwana nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie wakafurahi. Zaburi 34:2 |
My soul shall boast in Yahweh. The humble shall hear of it, and be glad. |
Mtukuzeni Bwana pamoja nami, Na tuliadhimishe jina lake pamoja. Zaburi 34:3 |
Oh magnify Yahweh with me. Let us exalt his name together. |
Nalimtafuta Bwana akanijibu, Akaniponya na hofu zangu zote. Zaburi 34:4 |
I sought Yahweh, and he answered me, And delivered me from all my fears. |
Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya. Zaburi 34:5 |
They looked to him, and were radiant. Their faces shall never be covered with shame. |
Maskini huyu aliita, Bwana akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote. Zaburi 34:6 |
This poor man cried, and Yahweh heard him, And saved him out of all his troubles. |
Malaika wa Bwana hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa. Zaburi 34:7 |
The angel of Yahweh encamps round about those who fear him, And delivers them. |
Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini. Zaburi 34:8 |
Oh taste and see that Yahweh is good. Blessed is the man who takes refuge in him. |
Mcheni Bwana, enyi watakatifu wake, Yaani, wamchao hawahitaji kitu. Zaburi 34:9 |
Oh fear Yahweh, you his saints, For there is no lack with those who fear him. |
Wana-simba hutindikiwa, huona njaa; Bali wamtafutao Bwana hawatahitaji kitu cho chote kilicho chema. Zaburi 34:10 |
The young lions do lack, and suffer hunger, But those who seek Yahweh shall not lack any good thing. |
Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha Bwana. Zaburi 34:11 |
Come, you children, listen to me. I will teach you the fear of Yahweh. |
Ni nani mtu yule apendezwaye na uzima, Apendaye siku nyingi apate kuona mema? Zaburi 34:12 |
Who is someone who desires life, And loves many days, that he may see good? |
Uuzuie ulimi wako na mabaya, Na midomo yako na kusema hila. Zaburi 34:13 |
Keep your tongue from evil, And your lips from speaking lies. |
Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie. Zaburi 34:14 |
Depart from evil, and do good. Seek peace, and pursue it. |
Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao. Zaburi 34:15 |
Yahweh's eyes are toward the righteous. His ears listen to their cry. |
Uso wa Bwana ni juu ya watenda mabaya, Aliondoe kumbukumbu lao duniani. Zaburi 34:16 |
Yahweh's face is against those who do evil, To cut off the memory of them from the earth. |
Walilia, naye Bwana akasikia, Akawaponya na taabu zao zote. Zaburi 34:17 |
The righteous cry, and Yahweh hears, And delivers them out of all their troubles. |
Bwana yu karibu nao waliovunjika moyo, Na waliopondeka roho huwaokoa. Zaburi 34:18 |
Yahweh is near to those who have a broken heart, And saves those who have a crushed spirit. |
Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini Bwana humponya nayo yote. Zaburi 34:19 |
Many are the afflictions of the righteous, But Yahweh delivers him out of them all. |
Huihifadhi mifupa yake yote, Haukuvunjika hata mmoja. Zaburi 34:20 |
He protects all of his bones. Not one of them is broken. |
Uovu utamwua asiye haki, Nao wamchukiao mwenye haki watahukumiwa. Zaburi 34:21 |
Evil shall kill the wicked. Those who hate the righteous shall be condemned. |
Bwana huzikomboa nafsi za watumishi wake, Wala hawatahukumiwa wote wamkimbiliao. Zaburi 34:22 |
Yahweh redeems the soul of his servants. None of those who take refuge in him shall be condemned. |