Zaburi BSB

Zaburi 125

Psalms Chapter 125

1
Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele.
A song of ascents. Those who trust in the LORD are like Mount Zion. It cannot be moved; it abides forever.
2
Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu, Ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake, Tangu sasa na hata milele.
As the mountains surround Jerusalem, so the LORD surrounds His people, both now and forevermore.
3
Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya fungu la wenye haki; Wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.
For the scepter of the wicked will not rest upon the land allotted to the righteous, so that the righteous will not put forth their hands to injustice.
4
Ee Bwana, uwatendee mema walio wema, Nao walio wanyofu wa moyo.
Do good, O LORD, to those who are good, and to the upright in heart.
5
Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, Bwana atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.
But those who turn to crooked ways the LORD will banish with the evildoers. Peace be upon Israel.

Chagua Sura