Ezekieli 33 Swahili & English

Listen/Download Audio
Ezekieli 33 (Swahili) Ezekiel 33 (English)

Neno la Bwana likanijia, kusema, Ezekieli 33:1

The word of Yahweh came to me, saying,

Mwanadamu, sema na wana wa watu wako, uwaambie, Hapo nitakapoleta upanga juu ya Ezekieli 33:2

Son of man, speak to the children of your people, and tell them, When I bring the sword on a land, and the people of the land take a man from among them, and set him for their watchman;

ikiwa, aonapo upanga unakuja juu ya nchi hiyo, apiga tarumbeta na kuwaonya watu; Ezekieli 33:3

if, when he sees the sword come on the land, he blow the trumpet, and warn the people;

basi mtu awaye yote aisikiaye sauti ya tarumbeta, wala haonywi, upanga ukija na Ezekieli 33:4

then whoever hears the sound of the trumpet, and doesn't take warning, if the sword come, and take him away, his blood shall be on his own head.

Aliisikia sauti ya tarumbeta, wala hakuonywa; damu yake itakuwa juu yake; lakini Ezekieli 33:5

He heard the sound of the trumpet, and didn't take warning; his blood shall be on him; whereas if he had taken warning, he would have delivered his soul.

Bali mlinzi akiona upanga unakuja, kama hapigi tarumbeta, wala watu hawakuonywa, Ezekieli 33:6

But if the watchman sees the sword come, and doesn't blow the trumpet, and the people aren't warned, and the sword comes, and take any person from among them; he is taken away in his iniquity, but his blood will I require at the watchman's hand.

Basi wewe, mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; basi ulisikie Ezekieli 33:7

So you, son of man, I have set you a watchman to the house of Israel; therefore hear the word at my mouth, and give them warning from me.

Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la Ezekieli 33:8

When I tell the wicked, O wicked man, you shall surely die, and you don't speak to warn the wicked from his way; that wicked man shall die in his iniquity, but his blood will I require at your hand.

Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye Ezekieli 33:9

Nevertheless, if you warn the wicked of his way to turn from it, and he doesn't turn from his way; he shall die in his iniquity, but you have delivered your soul.

Na wewe, mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli; Ninyi mwasema hivi, kwamba, Ezekieli 33:10

You, son of man, tell the house of Israel: Thus you speak, saying, Our transgressions and our sins are on us, and we pine away in them; how then can we live?

Waambie, Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu Ezekieli 33:11

Tell them, As I live, says the Lord Yahweh, I have no pleasure in the death of the wicked; but that the wicked turn from his way and live: turn you, turn you from your evil ways; for why will you die, house of Israel?

Na wewe, mwanadamu, waambie wana wa watu wako, Haki yake mwenye haki Ezekieli 33:12

You, son of man, tell the children of your people, The righteousness of the righteous shall not deliver him in the day of his disobedience; and as for the wickedness of the wicked, he shall not fall thereby in the day that he turns from his wickedness; neither shall he who is righteous be able to live thereby in the day that he sins.

Nimwambiapo mwenye haki, ya kwamba hakika ataishi; kama akiitumainia haki yake, Ezekieli 33:13

When I tell the righteous, that he shall surely live; if he trust to his righteousness, and commit iniquity, none of his righteous deeds shall be remembered; but in his iniquity that he has committed, therein shall he die.

Tena, nimwambiapo mtu mwovu, Hakika utakufa; kama akighairi, na kuiacha dhambi Ezekieli 33:14

Again, when I say to the wicked, You shall surely die; if he turn from his sin, and do that which is lawful and right;

kama mtu mwovu akirudisha rehani, na kumrudishia mtu mali yake aliyomnyang'anya, Ezekieli 33:15

if the wicked restore the pledge, give again that which he had taken by robbery, walk in the statutes of life, committing no iniquity; he shall surely live, he shall not die.

Katika dhambi zake zote alizozitenda, hata mojawapo haitakumbukwa juu yake; Ezekieli 33:16

None of his sins that he has committed shall be remembered against him: he has done that which is lawful and right; he shall surely live.

Walakini wana wa watu wako husema, Njia ya Bwana si sawa; lakini watu hao, njia Ezekieli 33:17

Yet the children of your people say, The way of the Lord is not equal: but as for them, their way is not equal.

Mwenye haki ageukapo, na kuiacha haki yake, na kutenda maovu, atakufa katika Ezekieli 33:18

When the righteous turns from his righteousness, and commits iniquity, he shall even die therein.

Na mtu mbaya ageukapo, na kuuacha ubaya wake, na kutenda yaliyo halali na haki, Ezekieli 33:19

When the wicked turns from his wickedness, and does that which is lawful and right, he shall live thereby.

Lakini ninyi husema, Njia ya Bwana si sawa. Ee nyumba ya Israeli, nitawahukumu Ezekieli 33:20

Yet you say, The way of the Lord is not equal. House of Israel, I will judge you everyone after his ways.

Ikawa, katika mwaka wa kumi na mbili wa kuhamishwa kwetu, mwezi wa kumi, siku ya Ezekieli 33:21

It happened in the twelfth year of our captivity, in the tenth [month], in the fifth [day] of the month, that one who had escaped out of Jerusalem came to me, saying, The city has been struck.

Basi mkono wa Bwana umekuwa juu yangu wakati wa jioni, kabla hajafika yeye Ezekieli 33:22

Now the hand of Yahweh had been on me in the evening, before he who was escaped came; and he had opened my mouth, until he came to me in the morning; and my mouth was opened, and I was no more mute.

Neno la Bwana likanijia, kusema, Ezekieli 33:23

The word of Yahweh came to me, saying,

Mwanadamu, watu wale wakaao mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli husema Ezekieli 33:24

Son of man, they who inhabit those waste places in the land of Israel speak, saying, Abraham was one, and he inherited the land: but we are many; the land is given us for inheritance.

Basi, waambie, Bwana MUNGU asema hivi; Mnakula nyama pamoja na damu yake, na Ezekieli 33:25

Therefore tell them, Thus says the Lord Yahweh: You eat with the blood, and lift up your eyes to your idols, and shed blood: and shall you possess the land?

Mnategemea upanga wenu, mnatenda machukizo, mnanajisi kila mtu mke wa jirani Ezekieli 33:26

You stand on your sword, you work abomination, and you defile everyone his neighbor's wife: and shall you possess the land?

Hivi ndivyo utakavyowaambia, Bwana MUNGU asema hivi; Kama mimi niishivyo, hakika Ezekieli 33:27

Thus shall you tell them, Thus says the Lord Yahweh: As I live, surely those who are in the waste places shall fall by the sword; and him who is in the open field will I give to the animals to be devoured; and those who are in the strongholds and in the caves shall die of the pestilence.

Nami nitaifanya nchi kuwa ukiwa na ajabu, na kiburi cha uwezo wake kitakoma; Ezekieli 33:28

I will make the land a desolation and an astonishment; and the pride of her power shall cease; and the mountains of Israel shall be desolate, so that none shall pass through.

Ndipo watakapojua ya kuwa mimi ndimi Bwana, nitakapoifanya nchi kuwa ukiwa na Ezekieli 33:29

Then shall they know that I am Yahweh, when I have made the land a desolation and an astonishment, because of all their abominations which they have committed.

Nawe, mwanadamu, wana wa watu wako husimulia habari zako karibu na kuta, na Ezekieli 33:30

As for you, son of man, the children of your people talk of you by the walls and in the doors of the houses, and speak one to another, everyone to his brother, saying, Please come and hear what is the word that comes forth from Yahweh.

Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao Ezekieli 33:31

They come to you as the people comes, and they sit before you as my people, and they hear your words, but don't do them; for with their mouth they show much love, but their heart goes after their gain.

Na tazama, wewe umekuwa kwao kama wimbo mzuri sana, wa mtu mwenye sauti Ezekieli 33:32

Behold, you are to them as a very lovely song of one who has a pleasant voice, and can play well on an instrument; for they hear your words, but they don't do them.

Na hayo yatakapokuwapo (tazama, yanakuja), ndipo watakapojua ya kuwa nabii Ezekieli 33:33

When this comes to pass, (behold, it comes), then shall they know that a prophet has been among them.