Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu;
Benjamin became the father of Bela his firstborn, Ashbel the second, and Aharah the third,
na wa nne Noha, na wa tano Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
Na Bela alikuwa na wana; Adari, na Gera, na Abihudi;
Bela had sons: Addar, and Gera, and Abihud,
na Abishua, na Naamani, na Ahoa;
and Abishua, and Naaman, and Ahoah,
na Gera, na Shufamu, na Huramu.
and Gera, and Shephuphan, and Huram.
Na hawa ndio wana wa Ehudi. (Hao ndio wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Geba; nao wakawachukua mateka mpaka Manahathi;
These are the sons of Ehud: these are the heads of fathers' [houses] of the inhabitants of Geba, and they carried them captive to Manahath:
na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi.
and Naaman, and Ahijah, and Gera, he carried them captive: and he became the father of Uzza and Ahihud.
Na Shaharaimu akazaa watoto katika Bara-Moabu, baada ya kuwafukuza wakeze Hushimu na Baara.
Shaharaim became the father of children in the field of Moab, after he had sent them away; Hushim and Baara were his wives.
Akazaliwa na Hodeshi, mkewe; Yobabu, na Sibia, na Mesha, na Malkamu;
He became the father of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcam,
na Yeusi, na Shakia, na Mirma. Hao ndio wanawe, wakuu wa mbari za baba zao.
and Jeuz, and Shachia, and Mirmah. These were his sons, heads of fathers' [houses].
Naye alikuwa amezaliwa na Hushimu, Abitubu, na Elpaali.
Of Hushim he became the father of Abitub and Elpaal.
Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;
The sons of Elpaal: Eber, and Misham, and Shemed, who built Ono and Lod, with the towns of it;
na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.
and Beriah, and Shema, who were heads of fathers' [houses] of the inhabitants of Aijalon, who put to flight the inhabitants of Gath;
Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;
and Ahio, Shashak, and Jeremoth,
na Zebadia, na Aradi, na Ederi;
and Zebadiah, and Arad, and Eder,
na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.
and Michael, and Ishpah, and Joha, the sons of Beriah,
Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;
and Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber,
na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.
and Ishmerai, and Izliah, and Jobab, the sons of Elpaal,
Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;
and Jakim, and Zichri, and Zabdi,
na Elienai, na Silethai, na Elieli;
and Elienai, and Zillethai, and Eliel,
na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.
and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, the sons of Shimei,
Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;
and Ishpan, and Eber, and Eliel,
na Abdoni, na Zikri, na Hanani;
and Abdon, and Zichri, and Hanan,
na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;
and Hananiah, and Elam, and Anthothijah,
na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.
and Iphdeiah, and Penuel, the sons of Shashak,
Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;
and Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.
and Jaareshiah, and Elijah, and Zichri, the sons of Jeroham.
Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.
These were heads of fathers' [houses] throughout their generations, chief men: these lived in Jerusalem.
Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;
In Gibeon there lived the father of Gibeon, [Jeiel], whose wife's name was Maacah;
na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu;
and his firstborn son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
na Gedori, na Ahio, na Zekaria
and Gedor, and Ahio, and Zecher.
Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.
Mikloth became the father of Shimeah. They also lived with their brothers in Jerusalem, over against their brothers.
Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.
Ner became the father of Kish; and Kish became the father of Saul; and Saul became the father of Jonathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.
Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.
The son of Jonathan was Merib Baal; and Merib Baal became the father of Micah.
Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi.
The sons of Micah: Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa;
Ahaz became the father of Jehoaddah; and Jehoaddah became the father of Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri became the father of Moza.
na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Ekasa, na mwanawe huyo ni Aseli;
Moza became the father of Binea; Raphah was his son, Eleasah his son, Azel his son.
naye Aseli alikuwa na wana sita, ambao majina yao ni haya; Azrikamu, na Bokeru, na Ishmaeli, na Shearia, na Obadia, na Hanani. Hao wote walikuwa wana wa Aseli.
Azel had six sons, whose names are these: Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.
Na wana wa Esheki nduguye ni hawa; mzaliwa wake wa kwanza, Ulamu, na wa pili Yeushi, na wa tatu Elifeleti.
The sons of Eshek his brother: Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
Na wana wa Ulamu walikuwa watu hodari wa vita, wapiga upinde, nao walikuwa na wana wengi, na wana wa wana, watu mia na hamsini. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Benyamini. </p>
The sons of Ulam were mighty men of valor, archers, and had many sons, and sons' sons, one hundred fifty. All these were of the sons of Benjamin.