1 Mambo ya Nyakati 3

1st Chronicles Chapter 3

Download Audio (Pakua)
« Orodha ya Sura
English Translation
1
Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli;
Now these were the sons of David, who were born to him in Hebron: the firstborn, Amnon, of Ahinoam the Jezreelitess; the second, Daniel, of Abigail the Carmelitess;
2
wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi;
the third, Absalom the son of Maacah the daughter of Talmai king of Geshur; the fourth, Adonijah the son of Haggith;
3
wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.
the fifth, Shephatiah of Abital; the sixth, Ithream by Eglah his wife:
4
Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu.
six were born to him in Hebron; and there he reigned seven years and six months. In Jerusalem he reigned thirty-three years;
5
Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;
and these were born to him in Jerusalem: Shimea, and Shobab, and Nathan, and Solomon, four, of Bathshua the daughter of Ammiel;
6
na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti;
and Ibhar, and Elishama, and Eliphelet,
7
na Noga, na Nefegi, na Yafia;
and Nogah, and Nepheg, and Japhia,
8
na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.
and Elishama, and Eliada, and Eliphelet, nine.
9
Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wana wa masuria; na Tamari alikuwa umbu lao.
All these were the sons of David, besides the sons of the concubines; and Tamar was their sister.
10
Na mwanawe Sulemani alikuwa Rehoboamu; na mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati;
Solomon's son was Rehoboam, Abijah his son, Asa his son, Jehoshaphat his son,
11
na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;
Joram his son, Ahaziah his son, Joash his son,
12
na mwanawe huyo ni Amazia; na mwanawe huyo ni Uzia; na mwanawe huyo ni Yothamu;
Amaziah his son, Azariah his son, Jotham his son,
13
na mwanawe huyo ni Ahazi; na mwanawe huyo ni Hezekia; na mwanawe huyo ni Manase;
Ahaz his son, Hezekiah his son, Manasseh his son,
14
na mwanawe huyo ni Amoni; na mwanawe huyo ni Yosia.
Amon his son, Josiah his son.
15
Na wana wa Yosia walikuwa hawa; Yohana mzaliwa wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
The sons of Josiah: the firstborn Johanan, the second Jehoiakim, the third Zedekiah, the fourth Shallum.
16
Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.
The sons of Jehoiakim: Jeconiah his son, Zedekiah his son.
17
Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,
The sons of Jeconiah, the captive: Shealtiel his son,
18
na Malkiramu, na Pedaya, na Shenazari, na Yekamia, na Hoshama, na Nedabia.
and Malchiram, and Pedaiah, and Shenazzar, Jekamiah, Hoshama, and Nedabiah.
19
Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa umbu lao;
The sons of Pedaiah: Zerubbabel, and Shimei. The sons of Zerubbabel: Meshullam, and Hananiah; and Shelomith was their sister;
20
na Hashuba, na Oheli, na Berekia, na Hasadia, na Yushab-Hesedi, watu watano.
and Hashubah, and Ohel, and Berechiah, and Hasadiah, Jushab-hesed, five.
21
Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
The sons of Hananiah: Pelatiah, and Jeshaiah; the sons of Rephaiah, the sons of Arnan, the sons of Obadiah, the sons of Shecaniah.
22
Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.
The sons of Shecaniah: Shemaiah. The sons of Shemaiah: Hattush, and Igal, and Bariah, and Neariah, and Shaphat, six.
23
Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.
The sons of Neariah: Elioenai, and Hizkiah, and Azrikam, three.
24
Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba. </p>
The sons of Elioenai: Hodaviah, and Eliashib, and Pelaiah, and Akkub, and Johanan, and Delaiah, and Anani, seven.
« 2 4 »

Chagua Sura Nyingine (Select Chapter)