1 Mambo ya Nyakati 3 Swahili & English

Listen/Download Audio
1 Mambo ya Nyakati 3 (Swahili) 1st Chronicles 3 (English)

Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli; 1 Mambo ya Nyakati 3:1

Now these were the sons of David, who were born to him in Hebron: the firstborn, Amnon, of Ahinoam the Jezreelitess; the second, Daniel, of Abigail the Carmelitess;

wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi; 1 Mambo ya Nyakati 3:2

the third, Absalom the son of Maacah the daughter of Talmai king of Geshur; the fourth, Adonijah the son of Haggith;

wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe. 1 Mambo ya Nyakati 3:3

the fifth, Shephatiah of Abital; the sixth, Ithream by Eglah his wife:

Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu. 1 Mambo ya Nyakati 3:4

six were born to him in Hebron; and there he reigned seven years and six months. In Jerusalem he reigned thirty-three years;

Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu; 1 Mambo ya Nyakati 3:5

and these were born to him in Jerusalem: Shimea, and Shobab, and Nathan, and Solomon, four, of Bathshua the daughter of Ammiel;

na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti; 1 Mambo ya Nyakati 3:6

and Ibhar, and Elishama, and Eliphelet,

na Noga, na Nefegi, na Yafia; 1 Mambo ya Nyakati 3:7

and Nogah, and Nepheg, and Japhia,

na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda. 1 Mambo ya Nyakati 3:8

and Elishama, and Eliada, and Eliphelet, nine.

Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wana wa masuria; na Tamari alikuwa umbu lao. 1 Mambo ya Nyakati 3:9

All these were the sons of David, besides the sons of the concubines; and Tamar was their sister.

Na mwanawe Sulemani alikuwa Rehoboamu; na mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati; 1 Mambo ya Nyakati 3:10

Solomon's son was Rehoboam, Abijah his son, Asa his son, Jehoshaphat his son,

na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi; 1 Mambo ya Nyakati 3:11

Joram his son, Ahaziah his son, Joash his son,

na mwanawe huyo ni Amazia; na mwanawe huyo ni Uzia; na mwanawe huyo ni Yothamu; 1 Mambo ya Nyakati 3:12

Amaziah his son, Azariah his son, Jotham his son,

na mwanawe huyo ni Ahazi; na mwanawe huyo ni Hezekia; na mwanawe huyo ni Manase; 1 Mambo ya Nyakati 3:13

Ahaz his son, Hezekiah his son, Manasseh his son,

na mwanawe huyo ni Amoni; na mwanawe huyo ni Yosia. 1 Mambo ya Nyakati 3:14

Amon his son, Josiah his son.

Na wana wa Yosia walikuwa hawa; Yohana mzaliwa wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu. 1 Mambo ya Nyakati 3:15

The sons of Josiah: the firstborn Johanan, the second Jehoiakim, the third Zedekiah, the fourth Shallum.

Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia. 1 Mambo ya Nyakati 3:16

The sons of Jehoiakim: Jeconiah his son, Zedekiah his son.

Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli, 1 Mambo ya Nyakati 3:17

The sons of Jeconiah, the captive: Shealtiel his son,

na Malkiramu, na Pedaya, na Shenazari, na Yekamia, na Hoshama, na Nedabia. 1 Mambo ya Nyakati 3:18

and Malchiram, and Pedaiah, and Shenazzar, Jekamiah, Hoshama, and Nedabiah.

Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa umbu lao; 1 Mambo ya Nyakati 3:19

The sons of Pedaiah: Zerubbabel, and Shimei. The sons of Zerubbabel: Meshullam, and Hananiah; and Shelomith was their sister;

na Hashuba, na Oheli, na Berekia, na Hasadia, na Yushab-Hesedi, watu watano. 1 Mambo ya Nyakati 3:20

and Hashubah, and Ohel, and Berechiah, and Hasadiah, Jushab-hesed, five.

Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania. 1 Mambo ya Nyakati 3:21

The sons of Hananiah: Pelatiah, and Jeshaiah; the sons of Rephaiah, the sons of Arnan, the sons of Obadiah, the sons of Shecaniah.

Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita. 1 Mambo ya Nyakati 3:22

The sons of Shecaniah: Shemaiah. The sons of Shemaiah: Hattush, and Igal, and Bariah, and Neariah, and Shaphat, six.

Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu. 1 Mambo ya Nyakati 3:23

The sons of Neariah: Elioenai, and Hizkiah, and Azrikam, three.

Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.

1 Mambo ya Nyakati 3:24

The sons of Elioenai: Hodaviah, and Eliashib, and Pelaiah, and Akkub, and Johanan, and Delaiah, and Anani, seven.