1 Mambo ya Nyakati 1 Swahili & English

Listen/Download Audio
1 Mambo ya Nyakati 1 (Swahili) 1st Chronicles 1 (English)

Adamu, na Sethi, na Enoshi; 1 Mambo ya Nyakati 1:1

Adam, Seth, Enosh,

na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi; 1 Mambo ya Nyakati 1:2

Kenan, Mahalalel, Jared,

na Henoko, na Methusela, na Lameki; 1 Mambo ya Nyakati 1:3

Enoch, Methuselah, Lamech,

na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi. 1 Mambo ya Nyakati 1:4

Noah, Shem, Ham, and Japheth.

Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi. 1 Mambo ya Nyakati 1:5

The sons of Japheth: Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.

Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama. 1 Mambo ya Nyakati 1:6

The sons of Gomer: Ashkenaz, and Diphath, and Togarmah.

Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani. 1 Mambo ya Nyakati 1:7

The sons of Javan: Elishah, and Tarshish, Kittim, and Rodanim.

Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani. 1 Mambo ya Nyakati 1:8

The sons of Ham: Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.

Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani. 1 Mambo ya Nyakati 1:9

The sons of Cush: Seba, and Havilah, and Sabta, and Raama, and Sabteca. The sons of Raamah: Sheba, and Dedan.

Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi. 1 Mambo ya Nyakati 1:10

Cush became the father of Nimrod; he began to be a mighty one in the earth.

Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi, 1 Mambo ya Nyakati 1:11

Mizraim became the father of Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori. 1 Mambo ya Nyakati 1:12

and Pathrusim, and Casluhim (from whence came the Philistines), and Caphtorim.

Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi; 1 Mambo ya Nyakati 1:13

Canaan became the father of Sidon his firstborn, and Heth,

na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi; 1 Mambo ya Nyakati 1:14

and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite,

na Mhivi, na Mwarki, na Msini; 1 Mambo ya Nyakati 1:15

and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite,

na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. 1 Mambo ya Nyakati 1:16

and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.

Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi. 1 Mambo ya Nyakati 1:17

The sons of Shem: Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, and Uz, and Hul, and Gether, and Meshech.

Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi. 1 Mambo ya Nyakati 1:18

Arpachshad became the father of Shelah, and Shelah became the father of Eber.

Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani. 1 Mambo ya Nyakati 1:19

To Eber were born two sons: the name of the one was Peleg; for in his days the earth was divided; and his brother's name was Joktan.

Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera; 1 Mambo ya Nyakati 1:20

Joktan became the father of Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah,

na Hadoramu, na Uzali, na Dikla; 1 Mambo ya Nyakati 1:21

and Hadoram, and Uzal, and Diklah,

na Obali, na Abimaeli, na Sheba; 1 Mambo ya Nyakati 1:22

and Ebal, and Abimael, and Sheba,

na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani. 1 Mambo ya Nyakati 1:23

and Ophir, and Havilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan.

Shemu, na Arfaksadi, na Sala; 1 Mambo ya Nyakati 1:24

Shem, Arpachshad, Shelah,

na Eberi, na Pelegi, na Reu; 1 Mambo ya Nyakati 1:25

Eber, Peleg, Reu,

na Serugi, na Nahori, na Tera; 1 Mambo ya Nyakati 1:26

Serug, Nahor, Terah,

na Abramu, naye ndiye Ibrahimu. 1 Mambo ya Nyakati 1:27

Abram (the same is Abraham).

Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli. 1 Mambo ya Nyakati 1:28

The sons of Abraham: Isaac, and Ishmael.

Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu; 1 Mambo ya Nyakati 1:29

These are their generations: the firstborn of Ishmael, Nebaioth; then Kedar, and Adbeel, and Mibsam,

na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema; 1 Mambo ya Nyakati 1:30

Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema,

na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli. 1 Mambo ya Nyakati 1:31

Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishmael.

Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani. 1 Mambo ya Nyakati 1:32

The sons of Keturah, Abraham's concubine: she bore Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. The sons of Jokshan: Sheba, and Dedan.

Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura. 1 Mambo ya Nyakati 1:33

The sons of Midian: Ephah, and Epher, and Hanoch, and Abida, and Eldaah. All these were the sons of Keturah.

Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli. 1 Mambo ya Nyakati 1:34

Abraham became the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau, and Israel.

Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora. 1 Mambo ya Nyakati 1:35

The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jalam, and Korah.

Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki. 1 Mambo ya Nyakati 1:36

The sons of Eliphaz: Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.

Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza. 1 Mambo ya Nyakati 1:37

The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.

Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani. 1 Mambo ya Nyakati 1:38

The sons of Seir: Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan.

Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani. 1 Mambo ya Nyakati 1:39

The sons of Lotan: Hori, and Homam; and Timna was Lotan's sister.

Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana. 1 Mambo ya Nyakati 1:40

The sons of Shobal: Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi, and Onam. The sons of Zibeon: Aiah, and Anah.

Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani. 1 Mambo ya Nyakati 1:41

The sons of Anah: Dishon. The sons of Dishon: Hamran, and Eshban, and Ithran, and Cheran.

Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani. 1 Mambo ya Nyakati 1:42

The sons of Ezer: Bilhan, and Zaavan, Jaakan. The sons of Dishan: Uz, and Aran.

Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba. 1 Mambo ya Nyakati 1:43

Now these are the kings who reigned in the land of Edom, before there resigned any king over the children of Israel: Bela the son of Beor; and the name of his city was Dinhabah.

Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:44

Bela died, and Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his place.

Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:45

Jobab died, and Husham of the land of the Temanites reigned in his place.

Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi. 1 Mambo ya Nyakati 1:46

Husham died, and Hadad the son of Bedad, who struck Midian in the field of Moab, reigned in his place; and the name of his city was Avith.

Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:47

Hadad died, and Samlah of Masrekah reigned in his place.

Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:48

Samlah died, and Shaul of Rehoboth by the River reigned in his place.

Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:49

Shaul died, and Baal Hanan the son of Achbor reigned in his place.

Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu. 1 Mambo ya Nyakati 1:50

Baal Hanan died, and Hadad reigned in his place; and the name of his city was Pai: and his wife's name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Me-zahab.

Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi; 1 Mambo ya Nyakati 1:51

Hadad died. The chiefs of Edom were: chief Timna, chief Aliah, chief Jetheth,

na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni; 1 Mambo ya Nyakati 1:52

chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon,

na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari; 1 Mambo ya Nyakati 1:53

chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar,

na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.

1 Mambo ya Nyakati 1:54

chief Magdiel, chief Iram. These are the chiefs of Edom.