1 Mambo ya Nyakati 1 Swahili & English
Listen/Download Audio1 Mambo ya Nyakati 1 (Swahili) | 1st Chronicles 1 (English) |
---|---|
Adamu, na Sethi, na Enoshi; 1 Mambo ya Nyakati 1:1 |
Adam, Seth, Enosh, |
na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi; 1 Mambo ya Nyakati 1:2 |
Kenan, Mahalalel, Jared, |
na Henoko, na Methusela, na Lameki; 1 Mambo ya Nyakati 1:3 |
Enoch, Methuselah, Lamech, |
na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi. 1 Mambo ya Nyakati 1:4 |
Noah, Shem, Ham, and Japheth. |
Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi. 1 Mambo ya Nyakati 1:5 |
The sons of Japheth: Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras. |
Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama. 1 Mambo ya Nyakati 1:6 |
The sons of Gomer: Ashkenaz, and Diphath, and Togarmah. |
Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani. 1 Mambo ya Nyakati 1:7 |
The sons of Javan: Elishah, and Tarshish, Kittim, and Rodanim. |
Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani. 1 Mambo ya Nyakati 1:8 |
The sons of Ham: Cush, and Mizraim, Put, and Canaan. |
Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani. 1 Mambo ya Nyakati 1:9 |
The sons of Cush: Seba, and Havilah, and Sabta, and Raama, and Sabteca. The sons of Raamah: Sheba, and Dedan. |
Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi. 1 Mambo ya Nyakati 1:10 |
Cush became the father of Nimrod; he began to be a mighty one in the earth. |
Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi, 1 Mambo ya Nyakati 1:11 |
Mizraim became the father of Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim, |
na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori. 1 Mambo ya Nyakati 1:12 |
and Pathrusim, and Casluhim (from whence came the Philistines), and Caphtorim. |
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi; 1 Mambo ya Nyakati 1:13 |
Canaan became the father of Sidon his firstborn, and Heth, |
na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi; 1 Mambo ya Nyakati 1:14 |
and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite, |
na Mhivi, na Mwarki, na Msini; 1 Mambo ya Nyakati 1:15 |
and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite, |
na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. 1 Mambo ya Nyakati 1:16 |
and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite. |
Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi. 1 Mambo ya Nyakati 1:17 |
The sons of Shem: Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, and Uz, and Hul, and Gether, and Meshech. |
Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi. 1 Mambo ya Nyakati 1:18 |
Arpachshad became the father of Shelah, and Shelah became the father of Eber. |
Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani. 1 Mambo ya Nyakati 1:19 |
To Eber were born two sons: the name of the one was Peleg; for in his days the earth was divided; and his brother's name was Joktan. |
Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera; 1 Mambo ya Nyakati 1:20 |
Joktan became the father of Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah, |
na Hadoramu, na Uzali, na Dikla; 1 Mambo ya Nyakati 1:21 |
and Hadoram, and Uzal, and Diklah, |
na Obali, na Abimaeli, na Sheba; 1 Mambo ya Nyakati 1:22 |
and Ebal, and Abimael, and Sheba, |
na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani. 1 Mambo ya Nyakati 1:23 |
and Ophir, and Havilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan. |
Shemu, na Arfaksadi, na Sala; 1 Mambo ya Nyakati 1:24 |
Shem, Arpachshad, Shelah, |
na Eberi, na Pelegi, na Reu; 1 Mambo ya Nyakati 1:25 |
Eber, Peleg, Reu, |
na Serugi, na Nahori, na Tera; 1 Mambo ya Nyakati 1:26 |
Serug, Nahor, Terah, |
na Abramu, naye ndiye Ibrahimu. 1 Mambo ya Nyakati 1:27 |
Abram (the same is Abraham). |
Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli. 1 Mambo ya Nyakati 1:28 |
The sons of Abraham: Isaac, and Ishmael. |
Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu; 1 Mambo ya Nyakati 1:29 |
These are their generations: the firstborn of Ishmael, Nebaioth; then Kedar, and Adbeel, and Mibsam, |
na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema; 1 Mambo ya Nyakati 1:30 |
Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema, |
na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli. 1 Mambo ya Nyakati 1:31 |
Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishmael. |
Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani. 1 Mambo ya Nyakati 1:32 |
The sons of Keturah, Abraham's concubine: she bore Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. The sons of Jokshan: Sheba, and Dedan. |
Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura. 1 Mambo ya Nyakati 1:33 |
The sons of Midian: Ephah, and Epher, and Hanoch, and Abida, and Eldaah. All these were the sons of Keturah. |
Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli. 1 Mambo ya Nyakati 1:34 |
Abraham became the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau, and Israel. |
Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora. 1 Mambo ya Nyakati 1:35 |
The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jalam, and Korah. |
Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki. 1 Mambo ya Nyakati 1:36 |
The sons of Eliphaz: Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek. |
Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza. 1 Mambo ya Nyakati 1:37 |
The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah. |
Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani. 1 Mambo ya Nyakati 1:38 |
The sons of Seir: Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan. |
Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani. 1 Mambo ya Nyakati 1:39 |
The sons of Lotan: Hori, and Homam; and Timna was Lotan's sister. |
Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana. 1 Mambo ya Nyakati 1:40 |
The sons of Shobal: Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi, and Onam. The sons of Zibeon: Aiah, and Anah. |
Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani. 1 Mambo ya Nyakati 1:41 |
The sons of Anah: Dishon. The sons of Dishon: Hamran, and Eshban, and Ithran, and Cheran. |
Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani. 1 Mambo ya Nyakati 1:42 |
The sons of Ezer: Bilhan, and Zaavan, Jaakan. The sons of Dishan: Uz, and Aran. |
Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba. 1 Mambo ya Nyakati 1:43 |
Now these are the kings who reigned in the land of Edom, before there resigned any king over the children of Israel: Bela the son of Beor; and the name of his city was Dinhabah. |
Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:44 |
Bela died, and Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his place. |
Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:45 |
Jobab died, and Husham of the land of the Temanites reigned in his place. |
Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi. 1 Mambo ya Nyakati 1:46 |
Husham died, and Hadad the son of Bedad, who struck Midian in the field of Moab, reigned in his place; and the name of his city was Avith. |
Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:47 |
Hadad died, and Samlah of Masrekah reigned in his place. |
Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:48 |
Samlah died, and Shaul of Rehoboth by the River reigned in his place. |
Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake. 1 Mambo ya Nyakati 1:49 |
Shaul died, and Baal Hanan the son of Achbor reigned in his place. |
Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu. 1 Mambo ya Nyakati 1:50 |
Baal Hanan died, and Hadad reigned in his place; and the name of his city was Pai: and his wife's name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Me-zahab. |
Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi; 1 Mambo ya Nyakati 1:51 |
Hadad died. The chiefs of Edom were: chief Timna, chief Aliah, chief Jetheth, |
na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni; 1 Mambo ya Nyakati 1:52 |
chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon, |
na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari; 1 Mambo ya Nyakati 1:53 |
chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar, |
na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu. 1 Mambo ya Nyakati 1:54 |
chief Magdiel, chief Iram. These are the chiefs of Edom. |