1 Mambo ya Nyakati 7 Swahili & English

Listen/Download Audio
1 Mambo ya Nyakati 7 (Swahili) 1st Chronicles 7 (English)

Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni, wanne. 1 Mambo ya Nyakati 7:1

Of the sons of Issachar: Tola, and Puah, Jashub, and Shimron, four.

Na wana wa Tola; Uzi, na Refaya, na Yerieli, na Yamai, na Ibsamu, na Shemueli, wakuu wa mbari za baba zao, yaani, wa Tola; watu hodari wa vita katika vizazi vyao; hesabu yao katika siku za Daudi ilikuwa watu ishirini na mbili elfu na mia sita. 1 Mambo ya Nyakati 7:2

The sons of Tola: Uzzi, and Rephaiah, and Jeriel, and Jahmai, and Ibsam, and Shemuel, heads of their fathers' houses, [to wit], of Tola; mighty men of valor in their generations: their number in the days of David was twenty-two thousand six hundred.

Na wana wa Uzi; Izrahia; na wana wa Izrahia; Mikaeli, na Obadia, na Yoeli, na Ishia, watano; wote wakuu. 1 Mambo ya Nyakati 7:3

The sons of Uzzi: Izrahiah. The sons of Izrahiah: Michael, and Obadiah, and Joel, Isshiah, five; all of them chief men.

Na pamoja nao, katika vizazi vyao, sawasawa na mbari za baba zao, walikuwapo vikosi vya jeshi la vita, watu thelathini na sita elfu; kwa kuwa wake zao na watoto wao walikuwa wengi. 1 Mambo ya Nyakati 7:4

With them, by their generations, after their fathers' houses, were bands of the host for war, thirty-six thousand; for they had many wives and sons.

Na ndugu zao katika jamaa zote za Isakari, watu hodari wa vita, wakihesabiwa kwa vizazi vyao, walikuwa watu themanini na saba elfu. 1 Mambo ya Nyakati 7:5

Their brothers among all the families of Issachar, mighty men of valor, reckoned in all by genealogy, were eighty-seven thousand.

Wana wa Benyamini; Bela, na Bekeri, na Yediaeli, watatu. 1 Mambo ya Nyakati 7:6

[The sons of] Benjamin: Bela, and Becher, and Jediael, three.

Na wana wa Bela; Esboni, na Uzi, na Uzieli, na Yerimothi, na Iri, watano; wakuu wa mbari za baba zao, watu hodari wa vita; nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao watu ishirini na mbili elfu na thelathini na wanne. 1 Mambo ya Nyakati 7:7

The sons of Bela: Ezbon, and Uzzi, and Uzziel, and Jerimoth, and Iri, five; heads of fathers' houses, mighty men of valor; and they were reckoned by genealogy twenty-two thousand thirty-four.

Na wana wa Bekeri; Zemira, na Yoashi, na Eliezeri, na Elioenai, na Omri, na Yeremothi, na Abiya, na Anathothi, na Alemethi. Hao wote ndio wana wa Bekeri. 1 Mambo ya Nyakati 7:8

The sons of Becher: Zemirah, and Joash, and Eliezer, and Elioenai, and Omri, and Jeremoth, and Abijah, and Anathoth, and Alemeth. All these were the sons of Becher.

Nao wakahesabiwa kwa vizazi vyao, katika vizazi vyao, wakuu wa mbari za baba zao, watu hodari wa vita, jumla yao watu ishirini elfu na mia mbili. 1 Mambo ya Nyakati 7:9

They were reckoned by genealogy, after their generations, heads of their fathers' houses, mighty men of valor, twenty thousand two hundred.

Na wana wa Yediaeli; Bilhani; na wana wa Bilhani; Yeushi, na Benyamini, na Ehudi, na Kenaana, na Zethani, na Tarshishi, na Ahishahari. 1 Mambo ya Nyakati 7:10

The sons of Jediael: Bilhan. The sons of Bilhan: Jeush, and Benjamin, and Ehud, and Chenaanah, and Zethan, and Tarshish, and Ahishahar.

Hao wote ndio wana wa Yediaeli, sawasawa na wakuu wa mbari za baba zao, watu hodari wa vita, kumi na saba elfu na mia mbili, wawezao kwenda vitani katika jeshi. 1 Mambo ya Nyakati 7:11

All these were sons of Jediael, according to the heads of their fathers' [houses], mighty men of valor, seventeen thousand and two hundred, who were able to go forth in the host for war.

Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri. 1 Mambo ya Nyakati 7:12

Shuppim also, and Huppim, the sons of Ir, Hushim, the sons of Aher.

Wana wa Naftali; Yaseeli, na Guni, na Yeseri, na Shilemu; wana wa Bilha. 1 Mambo ya Nyakati 7:13

The sons of Naphtali: Jahziel, and Guni, and Jezer, and Shallum, the sons of Bilhah.

Wana wa Manase; Asrieli, ambaye suria yake, Mwarami, alimzalia, akamzalia na Makiri babaye Gileadi; 1 Mambo ya Nyakati 7:14

The sons of Manasseh: Asriel, whom his concubine the Aramitess bore: she bore Machir the father of Gilead:

naye Makiri akatwaa mke kwa Hupimu na Shupimu, ambao umbu lao aliitwa Maaka; na wa pili akaitwa jina lake Selofehadi; na Selofehadi alikuwa na binti. 1 Mambo ya Nyakati 7:15

and Machir took a wife of Huppim and Shuppim, whose sister's name was Maacah; and the name of the second was Zelophehad: and Zelophehad had daughters.

Na Maaka mkewe Makiri, akamzalia mwana, akamwita jina lake Pereshi; na jina la nduguye aliitwa Shereshi; na wanawe walikuwa Ulamu, na Rakemu. 1 Mambo ya Nyakati 7:16

Maacah the wife of Machir bore a son, and she named him Peresh; and the name of his brother was Sheresh; and his sons were Ulam and Rakem.

Na wana wa Ulamu; Bedani. Hao ndio wana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase. 1 Mambo ya Nyakati 7:17

The sons of Ulam: Bedan. These were the sons of Gilead the son of Machir, the son of Manasseh.

Na umbu lake, Hamolekethi, akamzaa Ish-hodu, na Abiezeri, na Mala. 1 Mambo ya Nyakati 7:18

His sister Hammolecheth bore Ishhod, and Abiezer, and Mahlah.

Na wana wa Shemida walikuwa Ahiani, na Shekemu, na Liki, na Aniamu. 1 Mambo ya Nyakati 7:19

The sons of Shemida were Ahian, and Shechem, and Likhi, and Aniam.

Na wana wa Efraimu; Shuthela, na mwanawe huyo ni Beredi, na mwanawe huyo ni Tahathi, na mwanawe huyo ni Ekada, na mwanawe huyo ni Tahathi; 1 Mambo ya Nyakati 7:20

The sons of Ephraim: Shuthelah, and Bered his son, and Tahath his son, and Eleadah his son, and Tahath his son,

na mwanawe huyo ni Zabadi, na mwanawe huyo ni Shuthela; na Ezeri na Ekadi, ambao watu wa Gathi, wenyeji wa nchi, waliwaua, kwa sababu walishuka ili kuzipokonya ng'ombe zao. 1 Mambo ya Nyakati 7:21

and Zabad his son, and Shuthelah his son, and Ezer, and Elead, whom the men of Gath who were born in the land killed, because they came down to take away their cattle.

Na Efraimu, baba yao, akaomboleza siku nyingi, wakaja nduguze ili kumfariji. 1 Mambo ya Nyakati 7:22

Ephraim their father mourned many days, and his brothers came to comfort him.

Naye akamwingilia mkewe, naye akachukua mimba na kuzaa mwana, akamwita jina lake Beria, kwa sababu mna mabaya nyumbani mwake. 1 Mambo ya Nyakati 7:23

He went in to his wife, and she conceived, and bore a son, and he named him Beriah, because it went evil with his house.

Na binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga Beth-horoni, wa chini na wa juu, na Uzen-sheera. 1 Mambo ya Nyakati 7:24

His daughter was Sheerah, who built Beth Horon the lower and the upper, and Uzzen Sheerah.

Mwanawe ni Refa, na Reshefu, na mwanawe huyo ni Tela, na mwanawe huyo ni Tahani; 1 Mambo ya Nyakati 7:25

Rephah was his son, and Resheph, and Telah his son, and Tahan his son,

na mwanawe huyo ni Ladani, na mwanawe huyo ni Amihudi, na mwanawe huyo ni Elishama; 1 Mambo ya Nyakati 7:26

Ladan his son, Ammihud his son, Elishama his son,

na mwanawe huyo ni Nuni, na mwanawe huyo ni Yoshua. 1 Mambo ya Nyakati 7:27

Nun his son, Joshua his son.

Na hizi ndizo hozi zao na makao yao; Betheli na vijiji vyake, na upande wa mashariki Naara, na upande wa magharibi Gezeri na vijiji vyake; na Shekemu pia na vijiji vyake, hata Aza na vijiji vyake; 1 Mambo ya Nyakati 7:28

Their possessions and habitations were Bethel and the towns of it, and eastward Naaran, and westward Gezer, with the towns of it; Shechem also and the towns of it, to Azzah and the towns of it;

na mipakani mwa wana wa Manase; Beth-sheani na vijiji vyake; na Taanaki na vijiji vyake; na Megido na vijiji vyake; na Dori na vijiji vyake. Katika miji hiyo walikaa wana wa Yusufu, mwana wa Israeli. 1 Mambo ya Nyakati 7:29

and by the borders of the children of Manasseh, Beth-shean and its towns, Taanach and its towns, Megiddo and its towns, Dor and its towns. In these lived the children of Joseph the son of Israel.

Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na umbu lao, Sera. 1 Mambo ya Nyakati 7:30

The sons of Asher: Imnah, and Ishvah, and Ishvi, and Beriah, and Serah their sister.

Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi. 1 Mambo ya Nyakati 7:31

The sons of Beriah: Heber, and Malchiel, who was the father of Birzaith.

Na Heberi akamzaa Yafleti, na Shomeri, na Hothamu, na umbu lao, Shua. 1 Mambo ya Nyakati 7:32

Heber became the father of Japhlet, and Shomer, and Hotham, and Shua their sister.

Na wana wa Yafleti; Pasaki, na Bimhali, na Ashvathi. Hao ndio wana wa Yafleti. 1 Mambo ya Nyakati 7:33

The sons of Japhlet: Pasach, and Bimhal, and Ashvath. These are the children of Japhlet.

Na wana wa Shomeri; Ahi, na Roga, na Yehuba, na Aramu. 1 Mambo ya Nyakati 7:34

The sons of Shemer: Ahi, and Rohgah, Jehubbah, and Aram.

Na wana wa nduguye Helemu; Sofa, na Imna, na Sheleshi, na Amali. 1 Mambo ya Nyakati 7:35

The sons of Helem his brother: Zophah, and Imna, and Shelesh, and Amal.

Wana wa Sofa; Sua, na Harneferi, na Shuali, na Beri, na Imra; 1 Mambo ya Nyakati 7:36

The sons of Zophah: Suah, and Harnepher, and Shual, and Beri, and Imrah,

na Bezeri, na Hodu, na Shama, na Shilsha, na Ithrani, na Beera. 1 Mambo ya Nyakati 7:37

Bezer, and Hod, and Shamma, and Shilshah, and Ithran, and Beera.

Na wana wa Yetheri; Yefune, na Pispa, na Ara. 1 Mambo ya Nyakati 7:38

The sons of Jether: Jephunneh, and Pispa, and Ara.

Na wana wa Ula; Ara, na Hanieli na Risia. 1 Mambo ya Nyakati 7:39

The sons of Ulla: Arah, and Hanniel, and Rizia.

Hao wote ndio wana wa Asheri, wakuu wa mbari za baba zao, watu wateule, hodari wa vita, wakuu wa mashehe. Na hesabu yao waliojumlishwa kwa vizazi vyao kwenda vitani walikuwa watu ishirini na sita elfu.

1 Mambo ya Nyakati 7:40

All these were the children of Asher, heads of the fathers' houses, choice and mighty men of valor, chief of the princes. The number of them reckoned by genealogy for service in war was twenty-six thousand men.