Kutoka 29 : 33 Exodus chapter 29 verse 33

Swahili English Translation

Kutoka 29:33

Nao watakula vile vitu ambavyo upatanisho ulifanywa kwa hivyo, ili kuwaweka kwa kazi takatifu na kuwatakasa; lakini mgeni asivile, maana, ni vitu vitakatifu.
soma Mlango wa 29

Exodus 29:33

They shall eat those things with which atonement was made, to consecrate and sanctify them: but a stranger shall not eat of it, because they are holy.