Waamuzi 6 : 27 Judges chapter 6 verse 27
Swahili | English Translation |
---|---|
Waamuzi 6:27
Ndipo Gideoni akatwaa watu kumi miongoni mwa watumishi wake, akafanya kama Bwana alivyomwambia; lakini ikawa kwa sababu aliwaogopa watu wa nyumba ya baba yake, na watu wa mji, hakuweza kuyatenda hayo wakati wa mchana, basi aliyatenda usiku.
|
Judges 6:27Then Gideon took ten men of his servants, and did as Yahweh had spoken to him: and it happened, because he feared his father's household and the men of the city, so that he could not do it by day, that he did it by night. |