Waamuzi 6 : 13 Judges chapter 6 verse 13

Swahili English Translation

Waamuzi 6:13

Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa Bwana yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye Bwana, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
soma Mlango wa 6

Judges 6:13

Gideon said to him, Oh, my lord, if Yahweh is with us, why then has all this happened to us? and where are all his wondrous works which our fathers told us of, saying, Did not Yahweh bring us up from Egypt? but now Yahweh has cast us off, and delivered us into the hand of Midian.