Waamuzi 20 : 25 Judges chapter 20 verse 25

Swahili English Translation

Waamuzi 20:25

Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea siku ya pili, wakaangamiza hata nchi watu kumi na nane elfu tena katika watu wa Israeli; hao wote walikuwa wenye kutumia upanga.
soma Mlango wa 20

Judges 20:25

Benjamin went forth against them out of Gibeah the second day, and destroyed down to the ground of the children of Israel again eighteen thousand men; all these drew the sword.