Yeremia 7 : 32 Jeremiah chapter 7 verse 32

Swahili English Translation

Yeremia 7:32

Basi angalieni, siku zinakuja, asema Bwana, ambazo katika siku hizo halitaitwa tena Tofethi, wala Bonde la mwana wa Hinomu bali litaitwa, Bonde la Machinjo; maana watazika watu katika Tofethi, hata hapatakuwapo mahali pa kuzika tena.
soma Mlango wa 7

Jeremiah 7:32

Therefore, behold, the days come, says Yahweh, that it shall no more be called Topheth, nor The valley of the son of Hinnom, but The valley of Slaughter: for they shall bury in Topheth, until there be no place [to bury].