Kutoka 14 : 20 Exodus chapter 14 verse 20
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 14:20
ikafika kati ya jeshi la Misri na jeshi la Israeli; napo palikuwa na lile wingu na lile giza, lakini lilitoa nuru wakati wa usiku; na hawa hawakuwakaribia hawa usiku kucha.
|
Exodus 14:20It came between the camp of Egypt and the camp of Israel; and there was the cloud and the darkness, yet gave it light by night: and the one didn't come near the other all the night. |