Matendo ya Mitume 17 : 34 Acts chapter 17 verse 34

Swahili English Translation

Matendo ya Mitume 17:34

Baadhi ya watu wakashikamana naye, wakaamini; katika hao alikuwamo Dionisio, Mwareopago, na mwanamke mmoja jina lake Damari, na watu wengine pamoja na hao.
soma Mlango wa 17

Acts 17:34

But certain men joined with him, and believed, among whom also was Dionysius the Areopagite, and a woman named Damaris, and others with them.