Lyrics
Intro
Eh tunamsifu Mungu
Anatulinda lila siku
Upendo wake umetuzunguka siku zote
Halleluyah
Verse 1
Huku na huku eeh kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Kila ninapoimba kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Verse 2
Niwapo nimelala kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Na ninapo tembea tembea kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Verse 3
Hata nikiwa nakula kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Eh niwapo safarini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Nikiwa masomoni kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Spoken Bridge
Kila tunapokwenda tumezungukwa na nguvu za Mungu
Na kila tunalolifanya
Ambalo ni kwa ajili ya utukufu wa jina lake
Tumezungukwa na upendo wake halleluyah
Verse 4
Huku na huku na kule na hapo kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Anitegulia mitego ya muovu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Verse 5
Mi nalindwa kuliko wakuu wa dunia kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Hata nikiwa pekee yangu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Verse 6
Na nikiwa nyumbani kwangu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Na nikiwa kazini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Verse 7
Huku na huku na huku kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Nikiwa hospitalini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Outro
Nimezungukwa na nguvu za Mungu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Huku na huku he kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka (Mawimbi mawimbi)
Kama mawimbi, upendo wa Yesu wanizunguka
Credits & Song Information
Video
Meaning & Inspiration
“Upendo Wa Yesu” by Upendo Nkone is a call-and-response song of praise about Jesus’ love surrounding the believer in daily life. The recurring image of waves presents that love as constant and all around, while the verses move through ordinary settings—including rest, travel, school, work, home, and illness—to emphasize trust in God’s protection.