Upendo Nkone - Utabaki na Mimi Lyrics
Lyrics
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi Utabaki na mimi, utabaki na mimi Baba Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Katika pito hili baba (Utabaki na mimi) Kwenye magumu haya baba (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Utabaki na mimi baba (Utabaki na mimi) Uwe mfano wangu Yesu (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Majaribu ni kama moto yanauchoma moyo Yamenipata mimi moyoni mwangu naumia Nimesongwa pande zote sioni nafuu Yesu njoo uwe na mimi
Kichwa changu kinaniuma moyo una mawazo Jaribu hili baba yangu naona ni nzito sana Limenijia kwa ghafla nimehuzunika sana Yesu njoo nifariji moyo
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi) Nishike mkono baba (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi) Nishike mkono baba (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Mimi nalia machozi yangu uyaone baba Mwili wangu umetetemeka pito ni nzito Ewe Mungu wa urejesho unirejeshe tena Yesu wangu uwe na mimi
Nakuomba baba wa huruma unitulize Faraja yako Yesu wangu iwe na mimi Unishike mkono Mungu wangu uniinue tena Yesu njoo uwe na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi Utabaki na mimi, utabaki na mimi Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Hata nikiwa mjane baba (Utabaki na mimi) Hata nikiwa yatima (Utabaki na mimi) Usiniache baba, usiniache baba Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Hata ndoa ikiisha (Utabaki na mimi) Hata ndoa ikiisha baba (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Hata wakinitenga (Utabaki na mimi) Wakinifukuza mimi (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Marafiki wakikimbia (Utabaki na mimi) Na dunia ikinitenga (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Washirika wakinigeuka (Utabaki na mimi) Utabaki na mimi Baba (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Watoto wangu wakinitenga (Utabaki na mimi) Yesu utabaki na mimi (Utabaki na mimi) Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi
Wewe faraja ya moyo wangu Yesu mtuliza bahari
Video
Upendo Nkone - UTABAKI NA MIMI (official video )