Upendo Nkone - Alitakalo Analitenda Lyrics
Lyrics
Mungu kule mbingu juu Kila alitakalo lolote analitenda Yeye ni mwenye nguvu sana Lile alilopanga yeye huezi zuia
Upitapo kwenye shida na nyakati ngumu Nyakati za maumivu pia za machozi mengi Wewe usilalamike wala usimkufuru Mungu Mwenyewe ameruhusu upite hatokuacha
Faraja iliyo ya kweli inatoka kwa Mungu Tulia mwachie Mungu yeye anajua yote Mapito ni lazima tupite Ili utumishi wetu sisi uimarike
Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie Maana ni kweli una maumivu moyoni Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze Farijika kubali mapenzi ya Mungu
Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie Maana ni kweli una maumivu moyoni Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze Farijika kubali mapenzi ya Mungu
Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie Maana ni kweli una maumivu moyoni Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze Farijika kubali mapenzi ya Mungu
Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia
Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia
Ona machozi yanatutoka Tumehuzunika mioyo imeumia
Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia
Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia Utufariji ee Bwana tumeumia
Video
ALITAKALO ANALITENDA-Upendo Nkone (Audio)