Upendo Nkone - Alitakalo Analitenda Lyrics

Lyrics

Mungu kule mbingu juu Kila alitakalo lolote analitenda Yeye ni mwenye nguvu sana Lile alilopanga yeye huezi zuia

Upitapo kwenye shida na nyakati ngumu Nyakati za maumivu pia za machozi mengi Wewe usilalamike wala usimkufuru Mungu Mwenyewe ameruhusu upite hatokuacha

Faraja iliyo ya kweli inatoka kwa Mungu Tulia mwachie Mungu yeye anajua yote Mapito ni lazima tupite  Ili utumishi wetu sisi uimarike

Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie Maana ni kweli una maumivu moyoni Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze Farijika kubali mapenzi ya Mungu

Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie Maana ni kweli una maumivu moyoni Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze Farijika kubali mapenzi ya Mungu

Mimi siwezi, siwezi kukuzuia usilie Maana ni kweli una maumivu moyoni Nachoweza kusema ni kwamba unyamaze Farijika kubali mapenzi ya Mungu

Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia 

Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia 

Ona machozi yanatutoka Tumehuzunika mioyo imeumia 

Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia 

Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia  Utufariji ee Bwana tumeumia 

Video

ALITAKALO ANALITENDA-Upendo Nkone (Audio)

Thumbnail for Alitakalo Analitenda video
Loading...
In Queue
View Lyrics