Upendo Nkone - Usinipite Bwana Lyrics

Lyrics

Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse (Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse)

Usinipite bwana usinpite Unapogusa wengine nami niguse (Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse)

Mawazo yangu na moyo wangu Nakungoja uniguse Akili zangu ufaham wangu Vyote vyakungoja

Ninayo iman ukinigusa Napokea uzima Magonjwa yote mwilini mwang Yataondoka

Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse

Mkono wako gusa tumbo langu Naomba uponyaji Kichwa changu na mikono yangu Na miguu yangu

Na macho yangu naomba uyaguse Nipate kukuona Naziamini kazi zako Mungu Naomba niguse

Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse

Eeh ndugu yangu Yesu anaguvu Ruhusu akuguse Familia yako na ndoa yako Yesu ataponya Usikate tamaa kwa uliyo nayo Kwa Mungu yawezekana Alivyo hurumia wengine Na kwako atafanya

Usinipite bwana usinipite (ooh ooh) Unapogusa wengine nami niguse (Usinipite bwana) Usinipite bwana(usinipite Yesu) Usinipite (Nakungoja bwana) Unapogusa wengine (Eeh mwokozi)

Nami niguse (Eeh usinipite Yesu) Usinipite bwana (Naomba bwana) Usinipite (Eeh baba)  Unapogusa wengine (Wengine) nami niguse

Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse Usinipite bwana (Usinipite babaa)  Usinipite (Nakuita Yesu)

Unapogusa wengine (Eeh yeye baba)  Nami niguse (Usinipite baba yangu) Usinipite bwana (Usinipite bwana) Usinipite (Nakungoja bwana)  Unapogusa wengine (Nami niguse baba) Nami niguse (Niguse bwana wangu)

Video

Upendo Nkone Usinipite Bwana Official Video

Thumbnail for Usinipite Bwana video
Loading...
In Queue
View Lyrics