Upendo Nkone - Usinipite Bwana Lyrics
Lyrics
Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse (Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse)
Usinipite bwana usinpite Unapogusa wengine nami niguse (Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse)
Mawazo yangu na moyo wangu Nakungoja uniguse Akili zangu ufaham wangu Vyote vyakungoja
Ninayo iman ukinigusa Napokea uzima Magonjwa yote mwilini mwang Yataondoka
Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse
Mkono wako gusa tumbo langu Naomba uponyaji Kichwa changu na mikono yangu Na miguu yangu
Na macho yangu naomba uyaguse Nipate kukuona Naziamini kazi zako Mungu Naomba niguse
Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse
Eeh ndugu yangu Yesu anaguvu Ruhusu akuguse Familia yako na ndoa yako Yesu ataponya Usikate tamaa kwa uliyo nayo Kwa Mungu yawezekana Alivyo hurumia wengine Na kwako atafanya
Usinipite bwana usinipite (ooh ooh) Unapogusa wengine nami niguse (Usinipite bwana) Usinipite bwana(usinipite Yesu) Usinipite (Nakungoja bwana) Unapogusa wengine (Eeh mwokozi)
Nami niguse (Eeh usinipite Yesu) Usinipite bwana (Naomba bwana) Usinipite (Eeh baba) Unapogusa wengine (Wengine) nami niguse
Usinipite bwana usinipite Unapogusa wengine nami niguse Usinipite bwana (Usinipite babaa) Usinipite (Nakuita Yesu)
Unapogusa wengine (Eeh yeye baba) Nami niguse (Usinipite baba yangu) Usinipite bwana (Usinipite bwana) Usinipite (Nakungoja bwana) Unapogusa wengine (Nami niguse baba) Nami niguse (Niguse bwana wangu)
Video
Upendo Nkone Usinipite Bwana Official Video