Neema Gospel Choir - Nimekombolewa Lyrics
Lyrics
Verse 1 Nimekombolewa Bwana Yesu Aliyenirehemia Kwa bei ya mauti yake Nimekuwa mtoto wake
Nimekombolewa Bwana Yesu Aliyenirehemia Kwa bei ya mauti yake Nimekuwa mtoto wake
Chorus Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli
Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli
Verse 2 Nimekombolewa nafurahi Kupita lugha kutamka Ulionyesha pendo lake Nimekuwa mtoto wake
Nimekombolewa nafurahi Kupita lugha kutamka Ulionyesha pendo lake Nimekuwa mtoto wake
Chorus Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli
Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli
(Chorus Repeats)
Verse 3 Nitaona uzuri wake Mfalme wangu wa ajabu Na sasa ninafurahia Katika neema yake
Nitaona uzuri wake Mfalme wangu wa ajabu Na sasa ninafurahia Katika neema yake
Chorus Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli
Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli
(Chorus Repeats to end)
Video
Neema Gospel Choir & Roland Robert - Nimekombolewa (Live)// WORSHIP IN SPIRIT