Neema Gospel Choir - Nimekombolewa Lyrics

Lyrics

Verse 1 Nimekombolewa Bwana Yesu Aliyenirehemia Kwa bei ya mauti yake Nimekuwa mtoto wake

Nimekombolewa Bwana Yesu Aliyenirehemia Kwa bei ya mauti yake Nimekuwa mtoto wake

Chorus Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli

Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli

Verse 2 Nimekombolewa nafurahi Kupita lugha kutamka Ulionyesha pendo lake Nimekuwa mtoto wake

Nimekombolewa nafurahi Kupita lugha kutamka Ulionyesha pendo lake Nimekuwa mtoto wake

Chorus Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli

Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli

(Chorus Repeats)

Verse 3 Nitaona uzuri wake Mfalme wangu wa ajabu Na sasa ninafurahia Katika neema yake

Nitaona uzuri wake Mfalme wangu wa ajabu Na sasa ninafurahia Katika neema yake

Chorus Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli

Kombolewa Nakombolewa na damu ya Yesu Oh kombolewa Mimi mwana wa kweli

(Chorus Repeats to end)

Video

Neema Gospel Choir & Roland Robert - Nimekombolewa (Live)// WORSHIP IN SPIRIT

Thumbnail for Nimekombolewa video
Loading...
In Queue
View Lyrics