Christopher Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics

Lyrics

Ooh Kweli na kwamba Danieli  

Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 

Ooh Kweli na kwamba Danieli  

Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 

Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego 

Walitupwa kwenye tanuru la moto 

Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu 

Wanne amatoka wapi? 

Askari wakajiuliza, tulitupa watatu 

Wanne amatoka wapi?

Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo 

Katikati ya mateso Mungu yupo 

Katikati ya taabu zako Mungu yuko 

Katikati ya vita kubwa Mungu yupo 

Hawezi kukusahau, Hawezi kukumbia 

Oh Mungu wetu hawezi kukusahau 


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi

(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi

(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Usife Moyo ndugu wewe

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi

(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Usikate tamaa Mungu hawezi 

Mungu hawezi, hawezi

Mungu hawezi kukusahau 

Usijione uko pekee yako, aah 


Kwa nini umepanga kujiua wewe? 

Kwa nini umepanga kuikana imani yako?

Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?

Unaona maisha yamefika mwisho 

Kwa nini umepanga kujiua wewe? 

Kwa nini umepanga kuikana imani yako?

Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?

Umehangaika sana ndugu 

Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako 

Ninalo neno nataka kusema na wewe 

Ninalo neno nataka kuzungumza nawe 

Hata upitie shida ndugu yangu 

Hata upitie magumu ndugu yangu 

Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu 

Mungu yuko na wewe usikate tamaa 

Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma 

Mungu wee hawezi kukusahau 

Mungu wee hawezi kukukimbia  

Mungu wee hawezi kukuacha wee 

Haweezi haweezi, Hawezi Mungu 


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi

(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi

(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Usife Moyo ndugu wewe

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi

(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Usikate tamaa, usirudi nyuma 

Mungu hawezi, hawezi

Mungu hawezi kukusahau 



Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe 

Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe 

Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe

Mungu hawezi , hawezi kukusahau x2 

Wanadamu wanaweza kukusahau 

Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 

Wanadamu wanaweza kukukimbia 

Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 

Wanadamu wanaweza wakakutenga 

Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 

Wanadamu wanaweza wakakataa 

Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 

Haweezi Mungu wangu, 

Haweezi Mungu wangu, aiyoo


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi

(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi

(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Usife Moyo ndugu wewe

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi

(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 

(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 

Usikate tamaa, usirudi nyuma  

Mungu hawezi, hawezi

Usinung'unike

Mungu hawezi kukusahau 

Video

Chris Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Gospel Song

Thumbnail for Mungu Hawezi Kukusahau video

Meaning & Inspiration

Listening to this, I keep thinking about how easy it is to feel abandoned when life hits a wall. The song pulls directly from the fire and the lions' den, and honestly, those stories always pull me up short. It’s wild to think about Shadrach, Meshach, and Abednego in that furnace—the fact that the onlookers saw a fourth person when they only threw in three is exactly the kind of presence the song is talking about. It makes me recall how Isaiah mentions God being with us when we pass through the waters or the fire, ensuring we won't be scorched. It’s one thing to read that, but it’s another thing to try and hold onto it when you’re actually sitting in the middle of a mess.

The lyrics pivot from those historical miracles to the very real, desperate human condition of wanting to give up or look for help in the wrong places. It feels raw. When the song asks why someone would turn to witchcraft or despair, it’s not just judging; it’s touching on that frantic search for a way out that happens when we think God has checked out or forgotten us. The Hebrew writer talks about how He will never leave or forsake us, and the song is basically hammering that point home, over and over, because our hearts are so prone to doubting it the moment things get heavy.

Still, I find myself wrestling with the weight of the promise. It’s easy to sing about God being in the fire, but it’s harder to reckon with what that actually looks like when there isn't a miraculous rescue in the way we expect. Is the promise that He won't let us die, or that He is simply there in the middle of the pain regardless of the outcome? The lyrics emphasize He won't let you just die alone in your misery, which feels like a comfort, yet I have to wonder if I really trust that presence enough to keep me from "returning" or losing faith when the fire stays hot for a long time. It leaves me thinking about how much of our faith is just fighting to believe He’s still there when the walls are closing in.

Loading...
In Queue
View Lyrics