Christopher Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics
Lyrics
Ooh Kweli na kwamba Danieli
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali
Ooh Kweli na kwamba Danieli
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali
Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego
Walitupwa kwenye tanuru la moto
Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu
Wanne amatoka wapi?
Askari wakajiuliza, tulitupa watatu
Wanne amatoka wapi?
Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo
Katikati ya mateso Mungu yupo
Katikati ya taabu zako Mungu yuko
Katikati ya vita kubwa Mungu yupo
Hawezi kukusahau, Hawezi kukumbia
Oh Mungu wetu hawezi kukusahau
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Usikate tamaa Mungu hawezi
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau
Usijione uko pekee yako, aah
Kwa nini umepanga kujiua wewe?
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Unaona maisha yamefika mwisho
Kwa nini umepanga kujiua wewe?
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Umehangaika sana ndugu
Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako
Ninalo neno nataka kusema na wewe
Ninalo neno nataka kuzungumza nawe
Hata upitie shida ndugu yangu
Hata upitie magumu ndugu yangu
Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu
Mungu yuko na wewe usikate tamaa
Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma
Mungu wee hawezi kukusahau
Mungu wee hawezi kukukimbia
Mungu wee hawezi kukuacha wee
Haweezi haweezi, Hawezi Mungu
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Usikate tamaa, usirudi nyuma
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau
Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe
Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe
Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
Mungu hawezi , hawezi kukusahau x2
Wanadamu wanaweza kukusahau
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Wanadamu wanaweza kukukimbia
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Wanadamu wanaweza wakakutenga
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Wanadamu wanaweza wakakataa
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Haweezi Mungu wangu,
Haweezi Mungu wangu, aiyoo
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Usikate tamaa, usirudi nyuma
Mungu hawezi, hawezi
Usinung'unike
Mungu hawezi kukusahau
Video
Chris Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Gospel Song
Meaning & Inspiration
Listening to this, I keep thinking about how easy it is to feel abandoned when life hits a wall. The song pulls directly from the fire and the lions' den, and honestly, those stories always pull me up short. It’s wild to think about Shadrach, Meshach, and Abednego in that furnace—the fact that the onlookers saw a fourth person when they only threw in three is exactly the kind of presence the song is talking about. It makes me recall how Isaiah mentions God being with us when we pass through the waters or the fire, ensuring we won't be scorched. It’s one thing to read that, but it’s another thing to try and hold onto it when you’re actually sitting in the middle of a mess.
The lyrics pivot from those historical miracles to the very real, desperate human condition of wanting to give up or look for help in the wrong places. It feels raw. When the song asks why someone would turn to witchcraft or despair, it’s not just judging; it’s touching on that frantic search for a way out that happens when we think God has checked out or forgotten us. The Hebrew writer talks about how He will never leave or forsake us, and the song is basically hammering that point home, over and over, because our hearts are so prone to doubting it the moment things get heavy.
Still, I find myself wrestling with the weight of the promise. It’s easy to sing about God being in the fire, but it’s harder to reckon with what that actually looks like when there isn't a miraculous rescue in the way we expect. Is the promise that He won't let us die, or that He is simply there in the middle of the pain regardless of the outcome? The lyrics emphasize He won't let you just die alone in your misery, which feels like a comfort, yet I have to wonder if I really trust that presence enough to keep me from "returning" or losing faith when the fire stays hot for a long time. It leaves me thinking about how much of our faith is just fighting to believe He’s still there when the walls are closing in.