Goodluck Gozbert - Afadhali Yesu Lyrics
Lyrics
Nikiwa kwa matendo ya mwili Ulinipenda hukunitupa Nimekukosea mara nyingi Ukanipenda na msamaha
Na bado nakushangaa Hujanichoka hujanichoka Nikitazma kwenye list mimi sikudhani ungenisamehe Sikuwa na faida eeh Na dunia ilinikataa Pengine ungeshanizika Ila ukaniacha nisimulie wema wako wewe
Afadhali wewe tu Afadhali Yesu Afadhali wewe tu Afadhali Yesu
Wema wako na upole wako unanishangaza Umenipa fursa na udhaifu wangu ukanitakasa Unaniskia nikikulilia Badilisha nia sasa nakutumikia Na nikipotea unanionyesha njia Nakuwa msumbufu ila unanivumilia
We baba wee Kama ingekuwa binadamu hangeubeba msalaba Angeutupa chini tujitegemee Mzigo wetu tujibe, tujibebee
We baba wee Kama ingekuwa binadamu hangeubeba msalaba Angeutupa chini tujitegemee Mzigo wetu tujibe, tujibebee
Afadhali wewe tu Afadhali Yesu Afadhali wewe tu Afadhali Yesu
Nikiwa kwa matendo ya mwili Ulinipenda hukunitupa Yesu nimekukosea mara nyingi Ukanipenda na msamaha
Afadhali wewe tu Afadhali Yesu Afadhali wewe tu Afadhali Yesu
Mmmmh mmmh.... Aaah aah... Mmmmh mmmh....
Video
Afadhali Yesu- Goodluck Gozbert ft Guardian Angel. beautiful song