David Wonder - Rehema Lyrics

Lyrics

Watesi wangu hawawezi kuelewa Ninasema wewe ni Mungu wa baraka Tena hujawai chelewa  Ninapofika mwisho wewe huja haraka

Naomba unipe nguvu Nikiona maovu mimi nikimbie Unipe nguvu Kila siku nyimbo mpya mi nikuimbie

Na wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga mapema (Pema) Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga 

Ooh Baba umejawa rehema  Rehema (Rehema) Umejawa rehema (Rehema) No no no rehema (Rehema)

Oooh neema, nehema (Nehema) Umejawa nehema (Nehema) No no no nehema (Nehema) Oooh...

Ni mara ngapi nimekosa Na bado nikikuita hujawahi nichocha Nanyenyekea nitumie Watacheka mi nikirudi ocha

Ndio maana naomba omba, omba omba Oooh nisiwahi kuchosha Na ukisema nenda mi nitaenda Aaah...

Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga mapema (Pema) Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga 

Ooh Baba umejawa rehema  Rehema (Rehema) Umejawa rehema (Rehema) No no no rehema (Rehema)

Oooh neema, nehema (Nehema) Umejawa nehema (Nehema) No no no nehema (Nehema) Oooh...

Wasiwasi sina tena  Iliishaga mapema  Na asiwasi sina tena  Ooh iliishaga 

Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga mapema (Pema) Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga 

Ooh Baba umejawa rehema  Rehema (Rehema) Umejawa rehema (Rehema) No no no rehema (Rehema)

Oooh neema, nehema (Nehema) Umejawa nehema (Nehema) No no no nehema (Nehema) Oooh...

Video

REHEMA - DAVID WONDER (Official Video) Skiza 5430800 to 811

Thumbnail for Rehema video
Loading...
In Queue
View Lyrics