David Wonder - Rehema Lyrics
Lyrics
Watesi wangu hawawezi kuelewa Ninasema wewe ni Mungu wa baraka Tena hujawai chelewa Ninapofika mwisho wewe huja haraka
Naomba unipe nguvu Nikiona maovu mimi nikimbie Unipe nguvu Kila siku nyimbo mpya mi nikuimbie
Na wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga mapema (Pema) Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga
Ooh Baba umejawa rehema Rehema (Rehema) Umejawa rehema (Rehema) No no no rehema (Rehema)
Oooh neema, nehema (Nehema) Umejawa nehema (Nehema) No no no nehema (Nehema) Oooh...
Ni mara ngapi nimekosa Na bado nikikuita hujawahi nichocha Nanyenyekea nitumie Watacheka mi nikirudi ocha
Ndio maana naomba omba, omba omba Oooh nisiwahi kuchosha Na ukisema nenda mi nitaenda Aaah...
Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga mapema (Pema) Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga
Ooh Baba umejawa rehema Rehema (Rehema) Umejawa rehema (Rehema) No no no rehema (Rehema)
Oooh neema, nehema (Nehema) Umejawa nehema (Nehema) No no no nehema (Nehema) Oooh...
Wasiwasi sina tena Iliishaga mapema Na asiwasi sina tena Ooh iliishaga
Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga mapema (Pema) Wasiwasi sina tena (Tena) Iliishaga
Ooh Baba umejawa rehema Rehema (Rehema) Umejawa rehema (Rehema) No no no rehema (Rehema)
Oooh neema, nehema (Nehema) Umejawa nehema (Nehema) No no no nehema (Nehema) Oooh...
Video
REHEMA - DAVID WONDER (Official Video) Skiza 5430800 to 811