David Wonder - Kosa Lyrics
Lyrics
Oooh aaah (Alexis on the Beat)
Niko na damu kwa mkono na nyama kwa mdomo Nitakulaje? Na lawama za wana hazifiki kikomo Nitashibaje?
Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe
Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe
Ooh basi naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe
Oooh Baba naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe
Oooh niko sure polisi wananitafuta Oooh niko sure wanajua nimejificha Ju after kuwapata na mke na jirani Kwangu ndani chumbani nilitokwa akili yeah
Nilitafuta kitu ya kumtishia Nilivyopatana na kisu sikujua Oooh nilidhani kwa haraka atakimbia Kifuani mwake nilivyofika sikujua
Nimemdunga jirani kisu (Aha) Oooh jirani kisu (Aha) Na ako chini hasemi kitu (Aha) Ooh hasemi kitu
Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe
Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe
Ooh basi naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe
Oooh Baba naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe
Niko na damu kwa mkono na nyama kwa mdomo Nitakulaje? Na lawama za wana hazifiki kikomo Nitashibaje?
Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe
Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe
Ooh basi naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe
Oooh Baba naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe
Video
DAVID WONDER - KOSA( Skiza 9049352 to 811)