David Wonder - Kosa Lyrics

Lyrics

Oooh aaah (Alexis on the Beat)

Niko na damu kwa mkono na nyama kwa mdomo Nitakulaje? Na lawama za wana hazifiki kikomo Nitashibaje?

Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe

Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe

Ooh basi naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe

Oooh Baba naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe

Oooh niko sure polisi wananitafuta Oooh niko sure wanajua nimejificha Ju after kuwapata na mke na jirani Kwangu ndani chumbani nilitokwa akili yeah

Nilitafuta kitu ya kumtishia Nilivyopatana na kisu sikujua Oooh nilidhani kwa haraka atakimbia Kifuani mwake nilivyofika sikujua

Nimemdunga jirani kisu (Aha) Oooh jirani kisu (Aha) Na ako chini hasemi kitu (Aha) Ooh hasemi kitu

Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe

Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe

Ooh basi naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe

Oooh Baba naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe

Niko na damu kwa mkono na nyama kwa mdomo Nitakulaje? Na lawama za wana hazifiki kikomo Nitashibaje?

Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe

Nasema Baba nimekosa ooh kosa Kosea weee Nisije fanya tu kakosa ooh kosa Kukosana nawe

Ooh basi naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe

Oooh Baba naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe Ooh Yesu wangu naomba Nisamehe, nisamehe, nisamehe

Video

DAVID WONDER - KOSA( Skiza 9049352 to 811)

Thumbnail for Kosa video
Loading...
In Queue
View Lyrics