David Wonder - Najua Lyrics
Lyrics
Baraka zako Kweli me nimejionea Na mkono wako Kutwa kucha umeninyoshea Mimi ni wako Tena mimi sitapotea Na neno lako Moyoni nimejiwekea Wakati me sikuwa na kitu Baba (ulinishikilia) Wakati me sikuwa na kitu Baba
Ndio me nataka nikilala (nakuona tu Baba) Eeehh na nikiamka (nakuona tu Baba) Na me nataka nikitembea (nakuona tu Baba) Eeehh na nikiongea Kwani najua (najua) Najua (najua) Umenishika kwenye mikono (mikono ooh) Najua (najua) Najua (najua) Umenishika mimi ni wako (ni wako ooh) Ni wako ooooooh
Oh Yesu Usinitoe kwenye yako mipango Bila wewe sina mwisho na mwanzo ooh Ona, ona aah Siwezi tena kujificha Kwangu ndio unabisha Nakukaribisha ooh Na me nataka nikiomba (nakuona tu Baba) Na nikiimba (nakuona tu Baba) Eeh na nikiwa nawe Daddy (nakuona tu Baba) Uwe pamoja nami oohh oohh Kwani najua (najua) Najua (najua) Umenishika kwenye mikono (mikono ooh) Najua (najua) Najua (najua) Umenishika mimi ni wako (ni wako ooh)
Ooooh weeh Ooooh weeh Ooooh weeh Ooooh weeh Ooooh weeh Ooooh weeh Oooh najuaaaaaaa Najuaaaa Ooooh weeh
Video
David Wonder - Najua (Official Video Lyrics)