David Wonder - Za Baba Lyrics

Lyrics

Ni David Wonder na Mr Seed again (Alexis on the beat)

Mimi nangoja baraka za Baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba Baraka za, baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba)

Ukiinuliwa na mwanadamu  Atakushusha chini tena Na mambo yako sio ya siri tena Ju ni yeye tu atazunguka akikusema So niache tu nimtegemee wa nehema

Nimemuona toka kitambo Akiahidi ye hufanya mambo Na hajawai niangusha bado Bado, bado

Nimemuona toka kitambo Akiahidi ye hufanya mambo Na hajawai niangusha bado Bado, bado

Mimi nangoja baraka za Baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba Baraka za, baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba)

Ata nikifunga macho ni baraka naziona tena Na ya kwanza ni kwamba, umeniamsha mapema Na ya pili nakiri, we ndo Alfa Omega Na ya tatu ya nne na ya tano Sijawahi omba mkate ukasema no Uko nami milele, yes I know Wowowuwo yeah

Nimemuona toka kitambo Akiahidi ye hufanya mambo Na hajawai niangusha bado Bado, bado

Nimemuona toka kitambo Akiahidi ye hufanya mambo Na hajawai niangusha bado Bado, bado

Mimi nangoja baraka za Baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba Baraka za, baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba)

Nimemuona toka kitambo Akiahidi ye hufanya mambo Na hajawai niangusha bado Bado, bado

Nimemuona toka kitambo Akiahidi ye hufanya mambo Na hajawai niangusha bado Bado, bado

Mimi nangoja baraka za Baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba Baraka za, baraka za baba(Za Baba, za Baba) Ooooh zako Yesu(Za Baba, za Baba)

Na ya tatu ya nne na ya tano Sijawahi omba mkate ukasema no Uko nami milele, yes I know Wowowuwo yeah

Video

DAVID WONDER x MR SEED - ZA BABA(OFFICIAL VIDEO)

Thumbnail for Za Baba video
Loading...
In Queue
View Lyrics