David Wonder - Washangaze Lyrics

Lyrics

 

Wah wah wah wah   washangaze washangaze Wah wah wah wah   Washangaze washangaze

Baba fanya my wonder wonder wonder Washangaze washangaze wonder wonder wonder Washangaze washangaze

Ona nimefika mwisho Nitaanzia wapi baba Ulisema sitaona kifo  Kabla hujaonekana

Usiache me nianguke chini Niendapo baba enda na mimi Ulisema yangu ni kuamini We ni Mungu, niogope kwa nini?

Ooh baba basi tended, mshangao Oooh pahali friend nitaenda, mshangao Nasema baba basi tended, mshangao Oooh pahali friend nitaenda, aaah

Wah wah wah wah   washangaze washangaze Wah wah wah wah   Washangaze washangaze

Baba fanya my wonder wonder wonder Washangaze washangaze wonder wonder wonder Washangaze washangaze

Siwezi, siwezi kuzama ukicheki Ndio nimekazana sita bleki Kitu kidogo hii ni petty

Ooh sitakosa doh, sitakosa shilingi Utaleta mob, utaleta kwa wingi Wajue wewe ni God, baba siringi Wajue kwa imani, ndio me naishingi

Ooh baba basi tenda, mshangao Oooh pahali pote nitaenda, mshangao Nasema baba basi tenda, mshangao Oooh pahali pote nitaenda, aaah

Wah wah wah wah   washangaze washangaze Wah wah wah wah   Washangaze washangaze

Baba fanya ma wonder wonder wonder Washangaze washangaze Ma wonder wonder wonder Washangaze washangaze

Utafungua milango, washangae Wewe ni baba wa mipango, washangae Yaaani toka kitambo, washangae Oooh oooh

Kila kitu me nina shangaa eeh Ikupe utukufu, washangae oooh du, washangae ooooh ...

Wah wah wah wah   washangaze washangaze Wah wah wah wah   Washangaze washangaze

Baba fanya my wonder wonder wonder Washangaze washangaze wonder wonder wonder Washangaze washangaze

Wonder, wonder, wonder Baba fanya my wonder

 

Video

David Wonder - Washangaze (Official Music Video)

Thumbnail for Washangaze video
Loading...
In Queue
View Lyrics