Jessica Honore - Mwamba Lyrics
Lyrics
Hallelujah, hey hey Nimeketi juu ya mwamba Mwamba ndiwe Yesu
(Still Alive )
Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu
Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu
Mwamba ni Yesu Mwamba ni Yesu eeeh eeeeh Aaaah, mwamba ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu, mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh
Kwa kupigwa kwako nimepona Jina langu limendikwa mbinguni Kifo na mauti umeshinda Deni langu umenilipia
Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako
Mwamba, mwamba, mwamb Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamb Mwamba ni Yesu
Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu eeeh'
Mwamba ni Yesu eeh Mwamba ni Yesu eeeh Mwamba ni Yesu eeeh
Mshindi ni Yesu eeh Mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh
Matopeni umenitoa, aah Na wako nimeketishwa Na magonjwa umeniponya Shida zote umeondoa
Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako
Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu
Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu eeeh
Mwamba ni Yesu eeh Mwamba ni Yesu eeeh Mwamba ni Yesu eeeh
Mshindi ni Yesu eeh Mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh
Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu
Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu eeeh
Mwamba ni Yesu eeh Mwamba ni Yesu eeeh Mwamba ni Yesu eeeh
Mshindi ni Yesu eeh Mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh
Video
JESSICA HONORE- MWAMBA(Official video)