Jessica Honore - Mwamba Lyrics

Lyrics

Hallelujah, hey hey Nimeketi juu ya mwamba Mwamba ndiwe Yesu

(Still Alive )

Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu

Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu

Mwamba ni Yesu Mwamba ni Yesu eeeh eeeeh  Aaaah, mwamba ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu, mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh

Kwa kupigwa kwako nimepona Jina langu limendikwa mbinguni Kifo na mauti umeshinda Deni langu umenilipia

Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako

Mwamba, mwamba, mwamb Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamb Mwamba ni Yesu

Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu eeeh'

Mwamba ni Yesu eeh Mwamba ni Yesu eeeh Mwamba ni Yesu eeeh

Mshindi ni Yesu eeh Mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh

Matopeni umenitoa, aah Na wako nimeketishwa Na magonjwa umeniponya Shida zote umeondoa

Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako Zile laana za mababu na mabibi Umefuta kwa damu yako

Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu

Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu eeeh

Mwamba ni Yesu eeh Mwamba ni Yesu eeeh Mwamba ni Yesu eeeh

Mshindi ni Yesu eeh Mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh

Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu Mwamba, mwamba, mwamba Mwamba ni Yesu

Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu Mshindi, mshindi, mshindi Mshindi ni Yesu eeeh

Mwamba ni Yesu eeh Mwamba ni Yesu eeeh Mwamba ni Yesu eeeh

Mshindi ni Yesu eeh Mshindi ni Yesu eeeh Mshindi ni Yesu eeeh

Video

JESSICA HONORE- MWAMBA(Official video)

Thumbnail for Mwamba video
Loading...
In Queue
View Lyrics