Sifa Lyrics

Nitatulia by Jessica Honore cover art

Jessica Honore - Nitatulia Lyrics

Artist:
Jessica Honore

Lyrics

Bwana wangu, jabari langu
Uzima wangu, amani yangu
Jibu langu 


Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitanyamaza, nitatulia
Ahadi zako Mungu zinatimia


Eeh Baba, eeeh Yahweh


Umesema nitulie, niuone mkono wako
Maana ahadi zako zinatimia
Mavumbini wainua, na wakuu waketisha
Ahadi zako Mungu zinatimia


Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia , Nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia


Ooh, Hallelujah, Hallelujah


Wewe hauwahi wala hauchelewi
Unajibu kwa wakati unatimiza
Jibu lako ni ndio na tena Amina
Ila kuna kusubiri, unatimiza


Nitatulia  Nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia , Nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia


Ukisema ndio, hakuna wa kupinga
Neno halirudi bure Unatimiza
Mtetezi wangu, pigana vita vyangu
Na ijulikane upo, Mungu pamoja Nami


Mtetezi wangu pigana vita vyangu
Na ijulikane upo Mungu pamoja Nami


Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia


Unatimiza.....
(Still Alive)


Video