Jessica Honore - Nitatulia Lyrics

Lyrics

Bwana wangu, jabari langu Uzima wangu, amani yangu Jibu langu 

Nitatulia, nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia Nitanyamaza, nitatulia Ahadi zako Mungu zinatimia

Eeh Baba, eeeh Yahweh

Umesema nitulie, niuone mkono wako Maana ahadi zako zinatimia Mavumbini wainua, na wakuu waketisha Ahadi zako Mungu zinatimia

Nitatulia, nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia Nitatulia , Nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia

Ooh, Hallelujah, Hallelujah

Wewe hauwahi wala hauchelewi Unajibu kwa wakati unatimiza Jibu lako ni ndio na tena Amina Ila kuna kusubiri, unatimiza

Nitatulia  Nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia Nitatulia , Nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia

Ukisema ndio, hakuna wa kupinga Neno halirudi bure Unatimiza Mtetezi wangu, pigana vita vyangu Na ijulikane upo, Mungu pamoja Nami

Mtetezi wangu pigana vita vyangu Na ijulikane upo Mungu pamoja Nami

Nitatulia, nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia Nitatulia, nitanyamaza Ahadi zako Mungu zinatimia

Unatimiza..... (Still Alive)

Video

Jessica Honore (NITATULIA LIVE)

Thumbnail for Nitatulia video
Loading...
In Queue
View Lyrics