Jessica Honore - Halleluya Lyrics
Lyrics
Sifa za bwana zivume Na watu wote wajue Halleluya
Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda
Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda
Katika shida yangu Nalimuita Bwana Naye Bwana alisikia Na kuniitikia
Bwana yu upande wangu sitaogopa Mwanadamu atanitenda nini?
Mkono wa kuume wa Bwana Umenishikilia Kwa mkono wake Bwana Ninatenda makuu
Sitakufa nitaishi Nami nitasimulia Matendo makuu ya Bwana Aliyonitendea
Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda
Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda
Shukuruni bwana kwa kuwa ni mwema Kwa maana fadhili zake, za milele Tuliokoka na tuseme sasa Ya kwamba fadhili zake, za milele
-- --
Video
Haleluyah (live)-JESSICA HONORE