Jessica Honore - Halleluya Lyrics

Lyrics

Sifa za bwana zivume Na watu wote wajue  Halleluya

Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda

Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda

Katika shida yangu Nalimuita Bwana Naye Bwana alisikia Na kuniitikia

Bwana yu upande wangu sitaogopa  Mwanadamu atanitenda nini?

Mkono wa kuume wa Bwana Umenishikilia Kwa mkono wake Bwana Ninatenda makuu

Sitakufa nitaishi Nami nitasimulia Matendo makuu ya Bwana Aliyonitendea

Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda

Halleluya, Halleluya Sifa za bwana zivume Halleluya, Halleluya Kwa yote anayoyatenda

Shukuruni bwana kwa kuwa ni mwema Kwa maana fadhili zake, za milele Tuliokoka na tuseme sasa Ya kwamba fadhili zake, za milele

-- --

Video

Haleluyah (live)-JESSICA HONORE

Thumbnail for Halleluya video
Loading...
In Queue
View Lyrics