PaPi Clever & Dorcas - Kitambo Bado Lyrics
Lyrics
Kitambo bado-vita itaisha, kitambo, na dhoruba zitapoa Na tena nitalaza kichwa changu mbavuni mwake anayenipenda Kitambo bado-vita itaisha, kitambo, na dhoruba zitapoa Na tena nitalaza kichwa changu mbavuni mwake anayenipenda Nitaziona raha na amani, mbinguni hazitakuwapo dhambi Nitaziona raha na amani, mbinguni hazitakuwapo dhambi
Kitambo bado- roho yaumizwa, kitambo katika usiku huku Machozi nina’toka mara nyingi sababu sijaona bado Yesu Kitambo bado- roho yaumizwa, kitambo katika usiku huku Machozi nina’toka mara nyingi sababu sijaona bado Yesu Lakini asubuhi ya milele huko mbinguni sitalia tena Lakini asubuhi ya milele huko mbinguni sitalia tena
Kitambo bado ya kuchoka huku, kitambo, tena nitaona Yesu Na huru mbali na hatari zote nitastarehe mikononi mwake Kitambo bado ya kuchoka huku, kitambo, tena nitaona Yesu Na huru mbali na hatari zote nitastarehe mikononi mwake Uvuli wote utaondolewa kwa nuru huko kamilifu kweli Uvuli wote utaondolewa kwa nuru huko kamilifu kweli
Mateso yangu hayadhuru tena, nitasahau yote kwa Yesu Nikisumbuka mda duniani, mbinguni sitaona shida, kufa Mateso yangu hayadhuru tena, nitasahau yote kwa Yesu Nikisumbuka mda duniani, mbinguni sitaona shida, kufa Na Mungu atafuta kila chozi, ataondoa maumivu yote Na Mungu atafuta kila chozi, ataondoa maumivu yote
Video
KITAMBO BADO - PAPI CLEVER & DORCAS Ft MERCI PIANIST : MORNING WORSHIP 152