Yoshua 3 : 13 Joshua chapter 3 verse 13

Swahili English Translation

Yoshua 3:13

Itakuwa, wakati nyayo za makuhani walichukuao sanduku la Bwana, Bwana wa dunia yote, zitakaposimama katika maji ya Yordani, hayo maji ya Yordani yatatindika, maji yale yashukayo kutoka juu; nayo yatasimama kama chuguu.
soma Mlango wa 3

Joshua 3:13

It shall come to pass, when the soles of the feet of the priests who bear the ark of Yahweh, the Lord of all the earth, shall rest in the waters of the Jordan, that the waters of the Jordan shall be cut off, even the waters that come down from above; and they shall stand in one heap.