2 Mambo ya Nyakati 20 : 25 2nd Chronicles chapter 20 verse 25

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 20:25

Nao Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara zao, wakaona kati yao wingi wa mali, na mavazi, na johari za thamani, walivyojivulia, zaidi kuliko wawezavyo kuchukua; wakawa siku tatu katika kuteka nyara, maana zilikuwa nyingi sana.
soma Mlango wa 20

2nd Chronicles 20:25

When Jehoshaphat and his people came to take the spoil of them, they found among them in abundance both riches and dead bodies, and precious jewels, which they stripped off for themselves, more than they could carry away: and they were three days in taking the spoil, it was so much.