Lyrics
Verse 1
Wewe wathamini maombi
Tena wahifadhi machozi
Hutanichoka
Wanisikia
Verse 2
Safari jangwani ni ndefu
Na miguu yangu imechoka
Unikumbuke, unipe maji Bwana
Unikumbuke, unipe maji jangwani
Nakuamini kwa yote nipitiayo
Chorus
Unikumbuke, unipe maji jangwani
Nakuamini kwa yote nipitiayo
Unikumbuke, unipe maji jangwani
Nakuamini kwa yote nipitiayo
Chorus
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Verse 3
Kuna wakati kwa kila jambo
Na majira
Ee Mungu nisaidie mimi
Nisijisahau
Yaje mema
Yaje mabaya
Ee Mungu nisaidie mimi
Verse 4
Kinywa changu kitau Nena
Uzuri wa gomo wokozi
Yaje mema
Yaje mabaya
Ee Mungu nisaidie mimi
Chorus
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Verse 5
Nifundishe kuzia sabu
Siku zangu
Nisije nikajisahaou
Mungu wangu
Nifundishe kuzia sabu
Siku zangu
Nisije nikajisahaou
Mungu wangu
Chorus
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Chorus
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu
Maji jangwani, maji jangwani
Timiza kiu yangu
Timiza kiu yangu