Christina Shusho - Pendo la Mungu Lyrics

Lyrics

Naona pendo kubwa mimi Latoka kwa mwokozi wangu Nipe kama maji mengi Yatembeavyo baharini

Lanitolea tumaini Yakwamba nitajua Mungu Na niwe Mungu hodari tena Kwa pendo kubwa la mwokozi

Lanitolea tumaini Yakwamba nitajua Mungu Na niwe Mungu hodari tena Kwa pendo kubwa la mwokozi

---- ----

Video

Christina Shusho - Pendo la Mungu (Official Audio)

Thumbnail for Pendo la Mungu video
Loading...
In Queue
View Lyrics