Naona pendo kubwa mimi
Latoka kwa mwokozi wangu
Nipe kama maji mengi
Yatembeavyo baharini
Lanitolea tumaini
Yakwamba nitajua Mungu
Na niwe Mungu hodari tena
Kwa pendo kubwa la mwokozi
Lanitolea tumaini
Yakwamba nitajua Mungu
Na niwe Mungu hodari tena
Kwa pendo kubwa la mwokozi
----
----