Christina Shusho - Baba Yangu Lyrics

Lyrics

Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda

Umeniokoa, baba yangu Umenisamehe dhambi, Mungu wangu Kweli nakupenda, nakupenda

Nikitazama dunia jinsi ulivyoiumba Nikitazama milima jinsi ulivyoiweka Nikitazama bahari jinsi ulivyoiweka

Wanyama milimani, samaki baharini Na ndege wa angani umenipa mi nitawale Wanyama milimani, samaki baharini Na ndege wa angani umenipa mi nitawale 

Kweli Mungu we ni mwema sana Halleluyah

Tangu uumbaji Bwana kanifikiria mema Pale aliponiumba kwa mfano wake yeye Tangu uumbaji Bwana kanifikiria mema Pale aliponiumba kwa mfano wake yeye

Nizitawale vitu vyote, kwa dunia hii Kanipa na mamlaka --  Nizitawale vitu vyote, kwa dunia hii Kanipa na mamlaka -- 

Nimwelezeje Mungu wangu Enyi mataifa mnisikie  Nimwelezeje Mungu wangu Kweli Bwana nakushukuru  Nimweleze muumba wangu eeh eeh 

Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda

Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda

Video

Christina Shusho - Baba Yangu (Officia Audio)

Thumbnail for Baba Yangu video
Loading...
In Queue
View Lyrics