Christina Shusho - Baba Yangu Lyrics
Lyrics
Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda
Umeniokoa, baba yangu Umenisamehe dhambi, Mungu wangu Kweli nakupenda, nakupenda
Nikitazama dunia jinsi ulivyoiumba Nikitazama milima jinsi ulivyoiweka Nikitazama bahari jinsi ulivyoiweka
Wanyama milimani, samaki baharini Na ndege wa angani umenipa mi nitawale Wanyama milimani, samaki baharini Na ndege wa angani umenipa mi nitawale
Kweli Mungu we ni mwema sana Halleluyah
Tangu uumbaji Bwana kanifikiria mema Pale aliponiumba kwa mfano wake yeye Tangu uumbaji Bwana kanifikiria mema Pale aliponiumba kwa mfano wake yeye
Nizitawale vitu vyote, kwa dunia hii Kanipa na mamlaka -- Nizitawale vitu vyote, kwa dunia hii Kanipa na mamlaka --
Nimwelezeje Mungu wangu Enyi mataifa mnisikie Nimwelezeje Mungu wangu Kweli Bwana nakushukuru Nimweleze muumba wangu eeh eeh
Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda
Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda Eeh Baba yangu Baba yangu, Mungu wangu Nakupenda, nakupenda
Video
Christina Shusho - Baba Yangu (Officia Audio)