Angela Chibalonza - 28 Anipenda Ni Kweli Lyrics

28 Anipenda Ni Kweli Lyrics

Anipenda ni kweli, Mungu anena hili,
Sisi wake watoto, kutulinda si zito.

CHORUS:
Yesu Mwokozi, ananipenda,
Kweli hupenda, Mungu amesema.

Kwa kupenda akafa, niokoke na kifo,
Atazisafi taka, sana ataniweka.

Anipenda kabisa, niuguapo sasa,
Anitunza mbinguni, niliyelala chini.

Kunipenda haachi, tu sote hapa chini,
Baada ya mashaka, kwake tanipeleka.


28 Anipenda Ni Kweli Video

28 Anipenda Ni Kweli Lyrics -  Angela Chibalonza

Angela Chibalonza Songs

Related Songs