23 Ni Salama Rohoni Mwangu Lyrics
Sheddy tenzi
Chorus:
It is well with my soul, When peace like a river
Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida;
Kwa mambo yote umenijulisha, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
23 Ni Salama Rohoni Mwangu Video
23 Ni Salama Rohoni Mwangu Lyrics
Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida;
Kwa mambo yote umenijulisha, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Ingawa shetani atanitesa, nitajipa moyo
kwani Kristo ameona unyonge wangu, amekufa kwa roho yangu. .
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Dhambi zangu zote, wala si nusu, zimewekwa msalabani;
Wala sichukui laana yake, ni salama rohoni mwangu
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Ee Bwana himiza siku ya kuja, panda itakapolia;
utakaposhuka sitaogopa, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Hymn
It is well with my soul