Yoshua 18

Joshua Chapter 18

Download Audio (Pakua)
« Orodha ya Sura
English Translation
1
Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo, wakasimamisha hema ya kukutania kuko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao.
The whole congregation of the children of Israel assembled themselves together at Shiloh, and set up the tent of meeting there: and the land was subdued before them.
2
Zilisalia katika wana wa Israeli kabila saba ambazo hazijagawanyiwa bado urithi wao.
There remained among the children of Israel seven tribes, which had not yet divided their inheritance.
3
Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema, Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi, ambayo yeye Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?
Joshua said to the children of Israel, How long are you slack to go in to possess the land, which Yahweh, the God of your fathers, has given you?
4
Haya, jichagulieni watu watatu kwa ajili ya kila kabila; nami nitawatuma, nao watainuka waende kati ya hiyo nchi, na kuiandika kama urithi wao ulivyo; kisha watanijilia mimi.
Appoint for you three men of each tribe: and I will send them, and they shall arise, and walk through the land, and describe it according to their inheritance; and they shall come to me.
5
Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba; Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.
They shall divide it into seven portions: Judah shall abide in his border on the south, and the house of Joseph shall abide in their border on the north.
6
Nanyi mtaiandika nchi iwe mafungu saba, kisha hayo maandiko yake mtaniletea mimi hapa; nami nitawapigia kura hapa mbele ya Bwana, Mungu wetu.
You shall describe the land into seven portions, and bring [the description] here to me; and I will cast lots for you here before Yahweh our God.
7
Kwa maana Walawi hawana fungu kati yenu; Kwa kuwa huo ukuhani wa Bwana ndio urithi wao; tena Gadi, na Reubeni, na hiyo nusu ya kabila ya Manase, wamekwisha pata urithi wao ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki, ambao walipewa na Musa, mtumishi wa Bwana.
For the Levites have no portion among you; for the priesthood of Yahweh is their inheritance: and Gad and Reuben and the half-tribe of Manasseh have received their inheritance beyond the Jordan eastward, which Moses the servant of Yahweh gave them.
8
Basi watu hao wakainuka wakaenda; kisha Yoshua aliwaagiza wale waliokwenda kuiandika nchi, akawaambia, Endeni, mkapite katikati ya nchi, na kuiandika habari zake, kisha mnijie tena hapa, nami nitawapigia kura kwa ajili yenu hapo mbele za Bwana huko Shilo.
The men arose, and went: and Joshua charged those who went to describe the land, saying, Go and walk through the land, and describe it, and come again to me; and I will cast lots for you here before Yahweh in Shiloh.
9
Basi watu hao wakaenda, wakapita katikati ya nchi, wakaandika habari zake katika chuo, na kuigawanya kwa miji yake, hata iwe mafungu saba, kisha wakamrejea Yoshua maragoni huko Shilo.
The men went and passed through the land, and described it by cities into seven portions in a book; and they came to Joshua to the camp at Shiloh.
10
Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao hapo mbele za Bwana katika Shilo; huko Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli hiyo nchi sawasawa na mafungu yao.
Joshua cast lots for them in Shiloh before Yahweh: and there Joshua divided the land to the children of Israel according to their divisions.
11
Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao; na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.
The lot of the tribe of the children of Benjamin came up according to their families: and the border of their lot went out between the children of Judah and the children of Joseph.
12
Mpaka wao upande wa kaskazini ulikuwa kutoka mto wa Yordani; kisha mpaka ukaendelea kufikilia ubavuni mwa mji wa Yeriko upande wa kaskazini, kisha ukaendelea kati ya nchi ya vilima kwa kuelekea upande wa magharibi; na matokeo yake yalikuwa hapo penye nyika ya Bethaveni.
Their border on the north quarter was from the Jordan; and the border went up to the side of Jericho on the north, and went up through the hill-country westward; and the goings out of it were at the wilderness of Beth Aven.
13
Kisha mpaka ukaendelea kutoka hapo na kufikilia mji wa Luzu, ubavuni mwa Luzu (ndio Betheli), kwa upande wa kusini; kisha mpaka ukatelemkia Ataroth-adari, karibu na mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni wa chini.
The border passed along from there to Luz, to the side of Luz (the same is Bethel), southward; and the border went down to Ataroth Addar, by the mountain that lies on the south of Beth Horon the lower.
14
Kisha mpaka uliendelea na kuzunguka upande wa magharibi wa kuelekea kusini, kutoka huo mlima ulio mkabala wa Beth-horoni upande wa kusini; na matokeo yake yalikuwa hapo Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), ni mji wa wana wa Yuda; huo ndio upande wa magharibi.
The border extended [there], and turned about on the west quarter southward, from the mountain that lies before Beth Horon southward; and the goings out of it were at Kiriath Baal (the same is Kiriath Jearim), a city of the children of Judah: this was the west quarter.
15
Na upande wa kusini ulikuwa ukitoka upande wa mwisho wa Kiriath-yearimu, na mpaka ukatokea upande wa magharibi, ukaendelea hata chemchemi ya maji, pale Neftoa;
The south quarter was from the uttermost part of Kiriath Jearim; and the border went out westward, and went out to the spring of the waters of Nephtoah;
16
kisha mpaka ulitelemka hata mwisho wa mlima ulio pale mkabala wa bonde la mwana wa Hinomu, lililo pale katika bonde la Warefai, upande wa kaskazini; nao ukatelemkia mpaka bonde la Hinomu, hata ubavuni mwa Myebusi upande wa kusini, kisha ukatelemka hata Enrogeli,
and the border went down to the uttermost part of the mountain that lies before the valley of the son of Hinnom, which is in the valley of Rephaim northward; and it went down to the valley of Hinnom, to the side of the Jebusite southward, and went down to En Rogel;
17
kisha ulipigwa upande wa kaskazini, nao ukatokea hapo Enshemeshi, ukatokea hata kufikilia Gelilothi, ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu; kisha ulitelemka hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;
and it extended northward, and went out at En Shemesh, and went out to Geliloth, which is over against the ascent of Adummim; and it went down to the stone of Bohan the son of Reuben;
18
kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini, nao ukatelemka hata hiyo Araba;
and it passed along to the side over against the Arabah northward, and went down to the Arabah;
19
kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini; na matokeo ya mpaka yalikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini.
and the border passed along to the side of Beth Hoglah northward; and the goings out of the border were at the north bay of the Salt Sea, at the south end of the Jordan: this was the south border.
20
Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini, kwa kuandama mipaka yake kwa kuuzunguka kote kote, sawasawa na jamaa zao.
The Jordan was the border of it on the east quarter. This was the inheritance of the children of Benjamin, by the borders of it round about, according to their families.
21
Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,
Now the cities of the tribe of the children of Benjamin according to their families were Jericho, and Beth Hoglah, and Emek Keziz,
22
na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;
and Beth Arabah, and Zemaraim, and Bethel,
23
na Avimu, na Para, na Ofra;
and Avvim, and Parah, and Ophrah,
24
na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake;
and Chephar Ammoni, and Ophni, and Geba; twelve cities with their villages:
25
na Gibeoni, na Rama, na Beerothi;
Gibeon, and Ramah, and Beeroth,
26
na Mispa, na Kefira, na Moza;
and Mizpeh, and Chephirah, and Mozah,
27
na Rekemu, na Irpeeli, na Tarala;
and Rekem, and Irpeel, and Taralah,
28
na Zela, na Elefu, na huyo Myebusi (ndio Yerusalemu), na Gibeathi, na Kiriathi; miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.
and Zelah, Eleph, and the Jebusite (the same is Jerusalem), Gibeath, [and] Kiriath; fourteen cities with their villages. This is the inheritance of the children of Benjamin according to their families.
2
Zilisalia katika wana wa Israeli kabila saba ambazo hazijagawanyiwa bado urithi wao.
There remained among the children of Israel seven tribes, which had not yet divided their inheritance.
3
Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema, Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi, ambayo yeye Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?
Joshua said to the children of Israel, How long are you slack to go in to possess the land, which Yahweh, the God of your fathers, has given you?
4
Haya, jichagulieni watu watatu kwa ajili ya kila kabila; nami nitawatuma, nao watainuka waende kati ya hiyo nchi, na kuiandika kama urithi wao ulivyo; kisha watanijilia mimi.
Appoint for you three men of each tribe: and I will send them, and they shall arise, and walk through the land, and describe it according to their inheritance; and they shall come to me.
5
Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba; Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.
They shall divide it into seven portions: Judah shall abide in his border on the south, and the house of Joseph shall abide in their border on the north.
6
Nanyi mtaiandika nchi iwe mafungu saba, kisha hayo maandiko yake mtaniletea mimi hapa; nami nitawapigia kura hapa mbele ya Bwana, Mungu wetu.
You shall describe the land into seven portions, and bring [the description] here to me; and I will cast lots for you here before Yahweh our God.
7
Kwa maana Walawi hawana fungu kati yenu; Kwa kuwa huo ukuhani wa Bwana ndio urithi wao; tena Gadi, na Reubeni, na hiyo nusu ya kabila ya Manase, wamekwisha pata urithi wao ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki, ambao walipewa na Musa, mtumishi wa Bwana.
For the Levites have no portion among you; for the priesthood of Yahweh is their inheritance: and Gad and Reuben and the half-tribe of Manasseh have received their inheritance beyond the Jordan eastward, which Moses the servant of Yahweh gave them.
8
Basi watu hao wakainuka wakaenda; kisha Yoshua aliwaagiza wale waliokwenda kuiandika nchi, akawaambia, Endeni, mkapite katikati ya nchi, na kuiandika habari zake, kisha mnijie tena hapa, nami nitawapigia kura kwa ajili yenu hapo mbele za Bwana huko Shilo.
The men arose, and went: and Joshua charged those who went to describe the land, saying, Go and walk through the land, and describe it, and come again to me; and I will cast lots for you here before Yahweh in Shiloh.
9
Basi watu hao wakaenda, wakapita katikati ya nchi, wakaandika habari zake katika chuo, na kuigawanya kwa miji yake, hata iwe mafungu saba, kisha wakamrejea Yoshua maragoni huko Shilo.
The men went and passed through the land, and described it by cities into seven portions in a book; and they came to Joshua to the camp at Shiloh.
10
Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao hapo mbele za Bwana katika Shilo; huko Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli hiyo nchi sawasawa na mafungu yao.
Joshua cast lots for them in Shiloh before Yahweh: and there Joshua divided the land to the children of Israel according to their divisions.
11
Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao; na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.
The lot of the tribe of the children of Benjamin came up according to their families: and the border of their lot went out between the children of Judah and the children of Joseph.
12
Mpaka wao upande wa kaskazini ulikuwa kutoka mto wa Yordani; kisha mpaka ukaendelea kufikilia ubavuni mwa mji wa Yeriko upande wa kaskazini, kisha ukaendelea kati ya nchi ya vilima kwa kuelekea upande wa magharibi; na matokeo yake yalikuwa hapo penye nyika ya Bethaveni.
Their border on the north quarter was from the Jordan; and the border went up to the side of Jericho on the north, and went up through the hill-country westward; and the goings out of it were at the wilderness of Beth Aven.
13
Kisha mpaka ukaendelea kutoka hapo na kufikilia mji wa Luzu, ubavuni mwa Luzu (ndio Betheli), kwa upande wa kusini; kisha mpaka ukatelemkia Ataroth-adari, karibu na mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni wa chini.
The border passed along from there to Luz, to the side of Luz (the same is Bethel), southward; and the border went down to Ataroth Addar, by the mountain that lies on the south of Beth Horon the lower.
14
Kisha mpaka uliendelea na kuzunguka upande wa magharibi wa kuelekea kusini, kutoka huo mlima ulio mkabala wa Beth-horoni upande wa kusini; na matokeo yake yalikuwa hapo Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), ni mji wa wana wa Yuda; huo ndio upande wa magharibi.
The border extended [there], and turned about on the west quarter southward, from the mountain that lies before Beth Horon southward; and the goings out of it were at Kiriath Baal (the same is Kiriath Jearim), a city of the children of Judah: this was the west quarter.
15
Na upande wa kusini ulikuwa ukitoka upande wa mwisho wa Kiriath-yearimu, na mpaka ukatokea upande wa magharibi, ukaendelea hata chemchemi ya maji, pale Neftoa;
The south quarter was from the uttermost part of Kiriath Jearim; and the border went out westward, and went out to the spring of the waters of Nephtoah;
16
kisha mpaka ulitelemka hata mwisho wa mlima ulio pale mkabala wa bonde la mwana wa Hinomu, lililo pale katika bonde la Warefai, upande wa kaskazini; nao ukatelemkia mpaka bonde la Hinomu, hata ubavuni mwa Myebusi upande wa kusini, kisha ukatelemka hata Enrogeli,
and the border went down to the uttermost part of the mountain that lies before the valley of the son of Hinnom, which is in the valley of Rephaim northward; and it went down to the valley of Hinnom, to the side of the Jebusite southward, and went down to En Rogel;
17
kisha ulipigwa upande wa kaskazini, nao ukatokea hapo Enshemeshi, ukatokea hata kufikilia Gelilothi, ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu; kisha ulitelemka hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;
and it extended northward, and went out at En Shemesh, and went out to Geliloth, which is over against the ascent of Adummim; and it went down to the stone of Bohan the son of Reuben;
18
kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini, nao ukatelemka hata hiyo Araba;
and it passed along to the side over against the Arabah northward, and went down to the Arabah;
19
kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini; na matokeo ya mpaka yalikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini.
and the border passed along to the side of Beth Hoglah northward; and the goings out of the border were at the north bay of the Salt Sea, at the south end of the Jordan: this was the south border.
20
Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini, kwa kuandama mipaka yake kwa kuuzunguka kote kote, sawasawa na jamaa zao.
The Jordan was the border of it on the east quarter. This was the inheritance of the children of Benjamin, by the borders of it round about, according to their families.
21
Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,
Now the cities of the tribe of the children of Benjamin according to their families were Jericho, and Beth Hoglah, and Emek Keziz,
22
na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;
and Beth Arabah, and Zemaraim, and Bethel,
23
na Avimu, na Para, na Ofra;
and Avvim, and Parah, and Ophrah,
24
na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake;
and Chephar Ammoni, and Ophni, and Geba; twelve cities with their villages:
25
na Gibeoni, na Rama, na Beerothi;
Gibeon, and Ramah, and Beeroth,
26
na Mispa, na Kefira, na Moza;
and Mizpeh, and Chephirah, and Mozah,
27
na Rekemu, na Irpeeli, na Tarala;
and Rekem, and Irpeel, and Taralah,
28
na Zela, na Elefu, na huyo Myebusi (ndio Yerusalemu), na Gibeathi, na Kiriathi; miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao. </p>
and Zelah, Eleph, and the Jebusite (the same is Jerusalem), Gibeath, [and] Kiriath; fourteen cities with their villages. This is the inheritance of the children of Benjamin according to their families.
« 17 19 »

Chagua Sura Nyingine (Select Chapter)