Vestine & Dorcas - EMMANUEL Lyrics

Lyrics

Kwa upande wako nitasimama himara Hata marafiki wanitenge ,kila mahali nizatungukwa na neema
nitazidiwa na nyimbo za sifa

Nimeona waliopondwa wamerejeshwa tena
waliocoka hupata nguvu mpya

Roho tasa ziriokorewa kwa pumzi wako takatifu
Kwa kila ajabu uliofanya, niliona sababu za kukuabudu.


kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2



Bila masharti ulinichaguwa
ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina x2
Kwa Juu yangu

ooooooh Niligonga mlango
Ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you .
I ‘go lift you high
kwa uhuru nimepata


Verse 2:

umekaa nami katika zhoruba
kupitia mwoto tumekuwa pamoja
myoyo yetu ilijaliwa na Woga.
huruma yako ikanikomboa

upendo wako ni ngao yangu
Golliati hatanizowea
Ushindi wako ni fahari yangu


Fimbo yako inaniongoza
Mwana kondo mwenye miujiza
Ushindi wako ni fahari yangu

kwa kila ajabu uliofanya.
Niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako


Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

Kwa pleasure na Sorrow through every hollow

I will always walk in steps you called me to follow

katika kila tatizo iwe kubwa ao dogo nitaweka Imani yangu yote kwako

kwa kila ajabu uliofanya.
Niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako



Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

kwa kila ajabu uliofanya.
Niliona sababu za kukuabudu.
kwenye kila chozi oliyofuta
kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu
Nimuogope nani Yesu
Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa
Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel
Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu
ooooooh Niligonga mlango
ooooooh ukanifunguliya
Ooooh I will Glorify you
I ‘go lift you high

kwa uhuru Nimepata

MIE Music “ Jesus Is Our Shepherd “

Video

EMMANUEL - Vestine & Dorcas (Official Video)

Thumbnail for EMMANUEL video
Loading...
In Queue
View Lyrics