Vestine & Dorcas - EMMANUEL Lyrics

Album: Emmanuel - Single
Released: 06 Jul 2025
iTunes Amazon Music

Lyrics

Kwa upande wako nitasimama himara Hata marafiki wanitenge ,kila mahali nizatungukwa na neema nitazidiwa na nyimbo za sifa

Nimeona waliopondwa wamerejeshwa tena waliocoka hupata nguvu mpya

Roho tasa ziriokorewa kwa pumzi wako takatifu Kwa kila ajabu uliofanya, niliona sababu za kukuabudu.

kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu Nimuogope nani Yesu Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina x2 Kwa Juu yangu

ooooooh Niligonga mlango Ooooooh ukanifunguliya Ooooh I will Glorify you . I ‘go lift you high kwa uhuru nimepata

Verse 2:

umekaa nami katika zhoruba kupitia mwoto tumekuwa pamoja myoyo yetu ilijaliwa na Woga. huruma yako ikanikomboa

upendo wako ni ngao yangu Golliati hatanizowea Ushindi wako ni fahari yangu

Fimbo yako inaniongoza Mwana kondo mwenye miujiza Ushindi wako ni fahari yangu

kwa kila ajabu uliofanya. Niliona sababu za kukuabudu. kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu Nimuogope nani Yesu Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu ooooooh Niligonga mlango ooooooh ukanifunguliya Ooooh I will Glorify you I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

Kwa pleasure na Sorrow through every hollow

I will always walk in steps you called me to follow

katika kila tatizo iwe kubwa ao dogo nitaweka Imani yangu yote kwako

kwa kila ajabu uliofanya. Niliona sababu za kukuabudu. kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu Nimuogope nani Yesu Askari wangu Hodari x2

Bila masharti ulinichaguwa Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu ooooooh Niligonga mlango ooooooh ukanifunguliya Ooooh I will Glorify you I ‘go lift you high

kwa uhuru nimepata

kwa kila ajabu uliofanya. Niliona sababu za kukuabudu. kwenye kila chozi oliyofuta kuna ishara ya uku wako

Ukiishi nami Yesu Nimuogope nani Yesu Askari wangu Hodari

Bila masharti ulinichaguwa Ulinipenda jinsi nilivyokuwa Emmanuel Siwizije kuhisi kubarikiwa na wema wako kubwa uliomimina

Kwa juu yangu ooooooh Niligonga mlango ooooooh ukanifunguliya Ooooh I will Glorify you I ‘go lift you high

kwa uhuru Nimepata

MIE Music “ Jesus Is Our Shepherd “

Video

EMMANUEL - Vestine & Dorcas (Official Video)

Thumbnail for EMMANUEL video
Loading...
In Queue
View Lyrics