Lyrics
Verse 1
Katika giza langu, Umekuwa mwanga,
Kila siku, natembea na wewe,
Ninapo jaribiwa, We ni nguvu yangu,
Hakuna wakufananishwa nawe, Yesu.
Chorus
Hakuna wakufananishwa nawe,
Hakuna mwingine, oh, Yesu,
Wewe ni mwokozi, na rafiki,
Hakuna kama wewe, oh, Yesu.
Verse 2
Nitaimba sifa zako, milele na milele,
Ufalme wako utadumu
Mwanzo na mwisho,
Ninapokutafuta, nakuona, oh, Yesu.
Chorus
Hakuna wakufananishwa nawe,
Hakuna mwingine, oh, Yesu,
Wewe ni mwokozi, na rafiki,
Hakuna kama wewe, oh, Yesu.
Bridge
oh, Yesu oh, Yesu oh, Yesu oh, Yesu.
oh, Yesu oh, Yesu oh, Yesu oh, Yesu.
Rafiki Rafiki Rafiki Rafiki
Mwokozi Mwokozi Mwokozi Mwokozi