Mr Seed - Mapito Lyrics

Lyrics

Vitu unafanya haziendi, haziendi Haujakula from weekendi, from weekendi Unaumia hapa ndani, hapa ndani Na bado marafiki wanapretendi, wanapretendi

Ndugu wa karibu anakusema sema vibaya Ndugu wa karibu anakuekea uongo Hawajui unachopitia ae unachokiona ee Hawajui unachopitia ae unachokiona ee Mungu yupo na hajalala kamwe Mungu yupo na hajalala kamwe

Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda)

Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda)

Ukianguka simama endelea wewe Ukiumia muombe mungu baba wewe Hautakufa kabla baraka zako wewe Mungu ni mkuu kuliko shida zako we we we

Mm kama Ayubu alimuona utamuona Na vidonda zilipona eeh eh, utapona we Na Lazaro kafufuka eeh eh, muaminie Na wanao kucheka eeh, watamuona maishani mwako

Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda)

Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Ni mapito tu yanapita (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda) Hata kama umefinyiliwa wewe (Mungu anatulinda)

Video

MR.SEED - MAPITO (Official Video) TO SET SKIZA TUNE SMS ( SKIZA 7301372 TO 811 )

Thumbnail for Mapito video
Loading...
In Queue
View Lyrics