Mr Seed - Simama Lyrics

Lyrics

Mr Seed - Simama Lyrics

Hey mmmh, mmmh Ooooh Mr Seed again Seed again... Alexis on the beat

Mmmmh nimekuwa chini sitabishana  Mmmh sitabishana  Lakini kwa jina la Yesu nasimama  Oooh oooh oh 

Na pesa ipotee  Na watu wanitokee Kwa jina la Yesu nasimama  Oooh oooh oh

Nimeng'ang'ana kwa bidii Maneno ya wenzangu sisikii Kwa maisha  Mungu wangu unanitosha

Mmmh 

Nimeng'ang'ana kwa bidii(aaah) Maneno ya wenzangu sisikii(aaah) Kwa maisha  Mungu wangu unanitosha

Me nasimama Ninasimama Ninasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Ninasimama Ninasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Hey, Hey Aaah, nilipata taabu dunia Ilipo nisukuma kwa kona Nilipata taabu,   Nikaona kujitoa uhai ndo bora

Mungu wa Abrahamu Alijitokeza mwenyewe tu Akaniambia mwanangu usijali Niko na wewe

Ata wanadamu Wakiniangusha nibebe tu Sitajali nipo salama  Nikiwa na wewe

Nimeng'ang'ana kwa bidii Maneno ya wenzangu sisikii Kwa maisha  Mungu wangu unanitosha

Mmmh 

Nimeng'ang'ana kwa bidii(aaah) Maneno ya wenzangu sisikii(aaah) Kwa maisha  Mungu wangu unanitosha

Ninasimama Me nasimama Ninasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Me nasimama Me nasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Me nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Mmmh, me nasimama(nasimama) Ukiwa na mimi nasimama

Mmmh, me nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Mmmh, me nasimama (haaha...)  Nasimama (haaha...) 

Me nasimama Me nasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Me nasimama Me nasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Ninasimama Me nasimama Ninasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Me nasimama Ninasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama

Starboy...

Video

MR.SEED - SIMAMA OFFICIAL VIDEO ( SMS : SKIZA 9048177 TO 811 )

Thumbnail for Simama video
Loading...
In Queue
View Lyrics