Sifa Lyrics

Simama by Mr Seed cover art

Mr Seed - Simama Lyrics

Artist:
Mr Seed

Lyrics

Mr Seed - Simama Lyrics


Hey mmmh, mmmh
Ooooh Mr Seed again
Seed again...
Alexis on the beat


Mmmmh nimekuwa chini sitabishana 
Mmmh sitabishana 
Lakini kwa jina la Yesu nasimama 
Oooh oooh oh 


Na pesa ipotee 
Na watu wanitokee
Kwa jina la Yesu nasimama 
Oooh oooh oh


Nimeng'ang'ana kwa bidii
Maneno ya wenzangu sisikii
Kwa maisha 
Mungu wangu unanitosha


Mmmh 


Nimeng'ang'ana kwa bidii(aaah)
Maneno ya wenzangu sisikii(aaah)
Kwa maisha 
Mungu wangu unanitosha


Me nasimama
Ninasimama
Ninasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Ninasimama
Ninasimama
Me nasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Hey, Hey
Aaah, nilipata taabu dunia
Ilipo nisukuma kwa kona
Nilipata taabu,  
Nikaona kujitoa uhai ndo bora


Mungu wa Abrahamu
Alijitokeza mwenyewe tu
Akaniambia mwanangu usijali
Niko na wewe


Ata wanadamu
Wakiniangusha nibebe tu
Sitajali nipo salama 
Nikiwa na wewe


Nimeng'ang'ana kwa bidii
Maneno ya wenzangu sisikii
Kwa maisha 
Mungu wangu unanitosha


Mmmh 


Nimeng'ang'ana kwa bidii(aaah)
Maneno ya wenzangu sisikii(aaah)
Kwa maisha 
Mungu wangu unanitosha


Ninasimama
Me nasimama
Ninasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Me nasimama
Me nasimama
Me nasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Me nasimama(nasimama)
Nasimama(nasimama)
Nasimama(nasimama)
Mmmh, me nasimama(nasimama)
Ukiwa na mimi nasimama


Mmmh, me nasimama(nasimama)
Nasimama(nasimama)
Nasimama(nasimama)
Mmmh, me nasimama (haaha...) 
Nasimama (haaha...) 


Me nasimama
Me nasimama
Me nasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Me nasimama
Me nasimama
Me nasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Ninasimama
Me nasimama
Ninasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Me nasimama
Ninasimama
Me nasimama
Kwa jina la Yesu nasimama


Starboy...


Video