Mr Seed - Simama Lyrics
Lyrics
Mr Seed - Simama Lyrics
Hey mmmh, mmmh Ooooh Mr Seed again Seed again... Alexis on the beat
Mmmmh nimekuwa chini sitabishana Mmmh sitabishana Lakini kwa jina la Yesu nasimama Oooh oooh oh
Na pesa ipotee Na watu wanitokee Kwa jina la Yesu nasimama Oooh oooh oh
Nimeng'ang'ana kwa bidii Maneno ya wenzangu sisikii Kwa maisha Mungu wangu unanitosha
Mmmh
Nimeng'ang'ana kwa bidii(aaah) Maneno ya wenzangu sisikii(aaah) Kwa maisha Mungu wangu unanitosha
Me nasimama Ninasimama Ninasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Ninasimama Ninasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Hey, Hey Aaah, nilipata taabu dunia Ilipo nisukuma kwa kona Nilipata taabu, Nikaona kujitoa uhai ndo bora
Mungu wa Abrahamu Alijitokeza mwenyewe tu Akaniambia mwanangu usijali Niko na wewe
Ata wanadamu Wakiniangusha nibebe tu Sitajali nipo salama Nikiwa na wewe
Nimeng'ang'ana kwa bidii Maneno ya wenzangu sisikii Kwa maisha Mungu wangu unanitosha
Mmmh
Nimeng'ang'ana kwa bidii(aaah) Maneno ya wenzangu sisikii(aaah) Kwa maisha Mungu wangu unanitosha
Ninasimama Me nasimama Ninasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Me nasimama Me nasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Me nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Mmmh, me nasimama(nasimama) Ukiwa na mimi nasimama
Mmmh, me nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Nasimama(nasimama) Mmmh, me nasimama (haaha...) Nasimama (haaha...)
Me nasimama Me nasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Me nasimama Me nasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Ninasimama Me nasimama Ninasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Me nasimama Ninasimama Me nasimama Kwa jina la Yesu nasimama
Starboy...
Video
MR.SEED - SIMAMA OFFICIAL VIDEO ( SMS : SKIZA 9048177 TO 811 )