Mr Seed - Hubadiliki Lyrics
Lyrics
Mr Seed Again (ALexis on The Beat)
Wanadamu wanabadilikaga Hata ufanye nini wanalalamikaga Mungu wetu wala habadiliki Yeye ni yuleyule jana tena milele
Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Yule yule wa zamani Yule yule ni wewe Wa Musa ni wewe Wa Yakobo ni wewe Hata wa Bella ni yeye yule Jana leo na milele hubadiliki eh
Rafiki yangu anaweza badilika Na mama yangu anaweza badilika Eh eh ila ni wewe hubadiliki Ila ni wewe
Ah natafuta, eh natafuta Mi natafuta wa kukufanana Hakuna wa kukufanana Mi nakupenda Yesu, kupenda Yesu Mi bado sijaona kama wewe Mpaka sasa uko mwenyewe Wewe ni Mungu tena nguvu yangu Rafiki yangu tena msiri wangu Yoh yoh yoh yoh, ye ye ye ye
Mi bado sijaona kama wewe Mpaka sasa uko mwenyewe
Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Hubadiliki yeyeye Oooh hubadiliki yeah yeah
Faithful God you are, you are, you are Crazy love with you Jesus Yeah yeah yeah Oh nah nah nah nah Watakuja wataenda Hubadiliki yoh daddy yoh yoh Watakuja wataenda eh Hubadiliki yoh daddy yoh yeah
Wewe ni Mungu tena nguvu yangu Rafiki yangu tena msiri wangu Yoh yoh yoh yoh, yeah yeah yeah
Mi bado sijaona kama wewe Mpaka sasa uko mwenyewe
Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Video
Hubadiliki