Mr Seed - Hubadiliki Lyrics

Lyrics

Mr Seed Again (ALexis on The Beat)

Wanadamu wanabadilikaga Hata ufanye nini wanalalamikaga Mungu wetu wala habadiliki Yeye ni yuleyule jana tena milele

Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh

Yule yule wa zamani Yule yule ni wewe Wa Musa ni wewe Wa Yakobo ni wewe Hata wa Bella ni yeye yule Jana leo na milele hubadiliki eh

Rafiki yangu anaweza badilika Na mama yangu anaweza badilika Eh eh ila ni wewe hubadiliki Ila ni wewe

Ah natafuta, eh natafuta Mi natafuta wa kukufanana Hakuna wa kukufanana Mi nakupenda Yesu, kupenda Yesu Mi bado sijaona kama wewe Mpaka sasa uko mwenyewe Wewe ni Mungu tena nguvu yangu Rafiki yangu tena msiri wangu Yoh yoh yoh yoh, ye ye ye ye

Mi bado sijaona kama wewe Mpaka sasa uko mwenyewe

Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh

Hubadiliki yeyeye Oooh hubadiliki yeah yeah

Faithful God you are, you are, you are Crazy love with you Jesus Yeah yeah yeah Oh nah nah nah nah Watakuja wataenda Hubadiliki yoh daddy yoh yoh Watakuja wataenda eh Hubadiliki yoh daddy yoh yeah

Wewe ni Mungu tena nguvu yangu Rafiki yangu tena msiri wangu Yoh yoh yoh yoh, yeah yeah yeah

Mi bado sijaona kama wewe Mpaka sasa uko mwenyewe

Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh Eh ah oh oh, hubadiliki eh

Video

Hubadiliki

Thumbnail for Hubadiliki video
Loading...
In Queue
View Lyrics