Mr Seed - Superstar Lyrics

Lyrics

Kama vile Mungu alipenda kanisa Baby nitakupenda kabisa Mimi, sitakutenda kabisa Baby nitakuombea kabisa

You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha

Namshukuru Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby

Wewe ni baraka kutoka kwa Baba Kwa moyo wangu ni upendo umejaa jaa Na tena kama feeings kamili Ninayo ndani ya mimi I wanna see you kando na mimi Usiwe mbali na mimi

Eeeh, eh Mungu nasema asante Kwa yale umetenda na yote Baba nasema Asante Kwa kunipa mrembo zaidi ya wote

You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha

Namshukuru Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby

Ni siku yetu leo Tuko kanisani leo Tunaoana na leo Mi nakupenda oweoo

Mmmh, hesabu moja hadi tatu Our wish leo has come true Nakupenda and thats true Shahidi ni Mungu aliye juu

Baba na mama wamekubali Ndugu na dada wamekubali Marafiki wamekubali Zaidi ya yote Mungu amekubali

You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha

Namshukuru Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby

Ooooh nakupenda kupenda mpenzi wangu wee Eii yeah nakupenda kupenda mpenzi wangu wee Eii yeah nakupenda kupenda mpenzi my beiby ooh wee Eii yeah nakupenda kupenda my beiby yeah

Video

MR SEED & NIMO - SUPERSTAR (Official Video) SMS ( SKIZA 9048578 TO 811 ) for SKIZA TUNE

Thumbnail for Superstar video
Loading...
In Queue
View Lyrics