Mr Seed - Superstar Lyrics
Lyrics
Kama vile Mungu alipenda kanisa Baby nitakupenda kabisa Mimi, sitakutenda kabisa Baby nitakuombea kabisa
You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha
Namshukuru Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby
Wewe ni baraka kutoka kwa Baba Kwa moyo wangu ni upendo umejaa jaa Na tena kama feeings kamili Ninayo ndani ya mimi I wanna see you kando na mimi Usiwe mbali na mimi
Eeeh, eh Mungu nasema asante Kwa yale umetenda na yote Baba nasema Asante Kwa kunipa mrembo zaidi ya wote
You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha
Namshukuru Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby
Ni siku yetu leo Tuko kanisani leo Tunaoana na leo Mi nakupenda oweoo
Mmmh, hesabu moja hadi tatu Our wish leo has come true Nakupenda and thats true Shahidi ni Mungu aliye juu
Baba na mama wamekubali Ndugu na dada wamekubali Marafiki wamekubali Zaidi ya yote Mungu amekubali
You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha You're my superstar Kwa moyo wangu umeleta furaha
Namshukuru Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby Mungu huyo, Mungu huyo Kwa kukuumba beiby
Ooooh nakupenda kupenda mpenzi wangu wee Eii yeah nakupenda kupenda mpenzi wangu wee Eii yeah nakupenda kupenda mpenzi my beiby ooh wee Eii yeah nakupenda kupenda my beiby yeah
Video
MR SEED & NIMO - SUPERSTAR (Official Video) SMS ( SKIZA 9048578 TO 811 ) for SKIZA TUNE