Mr Seed - Miracle Lyrics

Lyrics

Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle (Mr Seed Again)

Holy Ghost, holy ghost fire  Holy Ghost, holy ghost fire  Fire fire mi na worship God Ata ka ni kuwa mafala

Ushaingia bukla na Bible Ju wameandika no idle Siinamii mtu mimi never I don't worship ma idol

Glory mi hupea sir Jah Ju sijai bleki na njaa Ju hazijai ripoti kwa bar Ata ka sinyoi bado ye ni baba

Ushaipita chuom upate -- Mess kwa neiba uliachanga ka umemess Siku hizi alibleach ju ulikuwa unakula mess Kuomoka hukuwaga best na inakuwanga common sense

Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle

Hebu cheki zile vitu mi nadu (Du) Yesu wangu amenibariki niko juu (Juu juu juu) Hebu cheki zile vitu mi nadu (Du) Hizi ni baraka mtu wangu sio ju ju ju

Mi napanda level to level Hata kama hutaki devil Jina la Yesu linafanya mimi nipate favour Sitajipiga kifua ati ni mimi najua Nguvu za Yesu kila siku daily inaniinua

Sifanyangi mimi makiki Nafanyanga mimi mziki Nasambaza hivo injili Heri hata mi nikose  Lakini mi niishi fiti

Sifanyangi mimi makiki Nafanyanga mimi mziki Nasambaza hivo injili Heri hata mi nikose 

Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle

Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle

Watoto wangu eeh Ye ndio baba yetu Devil ni mkali aliua mama Akaua baba sasa torokeni

Watoto wa Yesu eeh  Ye ndio baba yetu Shetani ni mkali aliua mama Akaua baba sasa twendeni kwa Yesu eeh..

Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle

Watoto wangu eeh Ye ndio baba yetu Devil ni mkali aliua mama Akaua baba sasa torokeni

Video

MR.SEED x SAILORS - PIGANIANGE (OFFICIAL VIDEO) ( SMS SKIZA 7301639 TO 811 )

Thumbnail for Miracle video
Loading...
In Queue
View Lyrics