Mr Seed - Miracle Lyrics
Lyrics
Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle (Mr Seed Again)
Holy Ghost, holy ghost fire Holy Ghost, holy ghost fire Fire fire mi na worship God Ata ka ni kuwa mafala
Ushaingia bukla na Bible Ju wameandika no idle Siinamii mtu mimi never I don't worship ma idol
Glory mi hupea sir Jah Ju sijai bleki na njaa Ju hazijai ripoti kwa bar Ata ka sinyoi bado ye ni baba
Ushaipita chuom upate -- Mess kwa neiba uliachanga ka umemess Siku hizi alibleach ju ulikuwa unakula mess Kuomoka hukuwaga best na inakuwanga common sense
Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle
Hebu cheki zile vitu mi nadu (Du) Yesu wangu amenibariki niko juu (Juu juu juu) Hebu cheki zile vitu mi nadu (Du) Hizi ni baraka mtu wangu sio ju ju ju
Mi napanda level to level Hata kama hutaki devil Jina la Yesu linafanya mimi nipate favour Sitajipiga kifua ati ni mimi najua Nguvu za Yesu kila siku daily inaniinua
Sifanyangi mimi makiki Nafanyanga mimi mziki Nasambaza hivo injili Heri hata mi nikose Lakini mi niishi fiti
Sifanyangi mimi makiki Nafanyanga mimi mziki Nasambaza hivo injili Heri hata mi nikose
Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle
Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle
Watoto wangu eeh Ye ndio baba yetu Devil ni mkali aliua mama Akaua baba sasa torokeni
Watoto wa Yesu eeh Ye ndio baba yetu Shetani ni mkali aliua mama Akaua baba sasa twendeni kwa Yesu eeh..
Naeza taka sana uone miracle Naeza taka ukuje uone miracle Nah nah nah yaani miracle Nah nah nah yaani miracle
Watoto wangu eeh Ye ndio baba yetu Devil ni mkali aliua mama Akaua baba sasa torokeni
Video
MR.SEED x SAILORS - PIGANIANGE (OFFICIAL VIDEO) ( SMS SKIZA 7301639 TO 811 )