Joel Lwaga - Nitakuamini Tu Lyrics
Lyrics
Kwa kuwa umesema, mimi nitakuamiamini tu Hata kama sijaona, mimi nitakuamini tu Sitajali wanaosema, mimi nitakuamini tu Nitashika ulilosema, mimi nitakuamini tu
Kwa kuwa umesema, mimi nitakuamiamini tu Hata kama sijaona, mimi nitakuamini tu Sitajali wanaosema, mimi nitakuamini tu Nitashika ulilosema, mimi nitakuamini tu
Nitakuamini, nitakuamini Nitakuamini, nitakuamini tu Nitakuamini, nitakuamini Nitakuamini, nitakuamini tu
Nimejua na nina uhakika (Hee) Ukisema neno linatimia We si mwanadamu ataujuta Si mtu kusema uongo
Hata kama nuru inafifia (Hee) Hata kama huu ni uhalisia Hata kama sioni njia Sina pa kukimbilia Ulilosema ni akiba, hee
Iwe mvua ama jua Kiangazi au masika Iwe leo au kesho Siku nisiyoijua Nitasubiri, nitasubiri Nitasubiri, kwa kuwa umesema...
Kwa kuwa umesema, mimi nitakuamiamini tu Hata kama sijaona, mimi nitakuamini tu Sitajali wanaosema, mimi nitakuamini tu Nitashika ulilosema, mimi nitakuamini tu
Nitakuami, nitakuamini Nitakuami, nitakuamini Nitakuami, nitakuamini Nitakuami, nitakuamini tu
Nitakuami, nitakuamini Nitakuami, nitakuamini Nitakuami, nitakuamini Nitakuami, nitakuamini tu
Video
JOEL LWAGA - NITAKUAMINI TU (Official Audio)