Rose Muhando - Simba Lyrics

Lyrics

Simba lololo, simba anaguruma Simba lelele, simba anaguruma Simba wa kike anaguruma leo, simba anaguruma Simba nyikani anaguruma wowo, simba anaguruma Simba porini anaguruma leo, simba anaguruma

Mwambieni yule mbweha, nimerudi kutoka njangwani Nimesimama tena kwenye zamu yangu Wapeni habari wale umbwa Hii si bahati mbaya, mbingu zimeniamini  Mungu amenidhibitisha

Mpe salamu Yezebeli Nimerudi kutoka njangwani Nimesimama tena kwenye zamu yangu Wapeni habari wale umbwa Hii si bahati mbaya, mbingu zimeniamini  Mungu amenidhibitisha

Simba lololo, simba anaguruma Simba lelele, simba anaguruma Simba anaguruma, simba anaguruma Simba anaguruma, simba anaguruma

Mimi simba wa kike Kuwinda ndio asili yangu Nitawinda popote, nitaguruma popote Mbele ya mnyama wowote, kwenye pori lolote Katika nyakati zote, sitaogopa chochote Sitanyamaza hadi Mungu atakaponitwalia utukufu

Jeuri yangu, kumcha bwana ndio jeuri yangu Kumcha bwana ndio fahari yangu Kumjua Mungu ndio jeuri yangu Kumcha bwana ndio jeuri yangu

Simba lelele (Mawindoni niko mawindoni) Simba anaguruma leo (Mawindoni niko mawindoni) Simba wa kike anaoguruma leo, simba wowowo  (Mawindoni niko mawindoni)

Kumcha bwana ndio jeuri yangu, simba Kumjua Mungu ndio jeuri yangu, simba yeyee Malengo yangu mimi ni Mungu wangu, simba yeyee Fahari yangu mimi ni Mungu wangu, simba yeyee Simba lelele (Mawindoni niko mawindoni)

Simba wa kike hodari katikati ya mawindo Nitatenda kwa akili, kuyafumbua mafumbo Nitanguruma alfajiri, jioni nilete mawindo Sitanyamaza mpaka Mungu anipatie utukufu Simba lelele (Mawindoni niko mawindoni)

I'm a champion (Yeah yeah) Champion (Yeah yeah) Super champion (Oh Yeah yeah) Mimi champion, I'm a winner 

I'm a champion (Yeah yeah) Champion (Yeah yeah) Super champion (Oh Yeah yeah) Mimi champion, I'm a winner 

I'm a champion (Yeah yeah) Champion (Yeah yeah) Super champion (Oh Yeah yeah) Mimi champion, I'm a winner 

Simba lololo, simb

Video

Rose Muhando - Simba (Official Music Video) SMS SKIZA 7636520 TO 811

Thumbnail for Simba video

Meaning & Inspiration

Rose Muhando’s 2021 release, "Simba," is a powerful declaration of resilience and divine empowerment, resonating deeply with listeners seeking strength in their faith journey. The song's narrative unfolds as a triumphant return, with Muhando, likening herself to a female lion ("simba wa kike"), announcing her resurgence from hardship, referred to as coming "from the wilderness" ("kutoka njangwani"). This imagery immediately evokes biblical narratives of those who have faced severe trials and emerged victorious through divine intervention. The repeated, emphatic growl of the "simba" serves as a potent symbol of renewed authority and unshakeable spirit.

The lyrical content strongly echoes themes found throughout Scripture, particularly in passages that speak of God's deliverance and the believer's ultimate triumph over adversity. The declaration, "Mwambieni yule mbweha, nimerudi kutoka njangwani" (Tell that fox, I have returned from the wilderness), is reminiscent of prophetic pronouncements against adversaries, much like those found in Isaiah, where God declares His intention to scatter His enemies. Similarly, the lines, "Nimesimama tena kwenye zamu yangu" (I stand again in my turn) and "Hii si bahati mbaya, mbingu zimeniamini, Mungu amenidhibitisha" (This is not by chance, the heavens have believed me, God has affirmed me), speak to a divinely appointed season of restoration and validation. This can be understood through the lens of verses like Psalm 121:3, which assures that the Lord "will not let your foot slip— he who watches over you will not slumber." The reference to "Yezebeli" directly invokes the biblical figure known for her wickedness and opposition to God's people, framing the singer's return as a victory over such oppressive forces, aligning with the spiritual warfare spoken of in Ephesians 6:12.

Muhando's assertion of her inherent nature as a lioness, whose "asili" (nature) is to hunt and roar, translates into a spiritual context of pursuing God's will with fierceness and unwavering determination. The bold statement, "Nitawinda popote, nitaguruma popote" (I will hunt anywhere, I will roar anywhere), and the commitment, "Sitaogopa chochote" (I will fear nothing), mirrors the courage instilled in believers through verses like Joshua 1:9, which commands, "Be strong and courageous. Do not be afraid; do not be discouraged, for the Lord your God will be with you wherever you go." The song's core message is further solidified in the powerful verses about reverence for God: "Jeuri yangu, kumcha bwana ndio jeuri yangu" (My strength, fearing the Lord is my strength) and "Kumcha bwana ndio fahari yangu" (Fearing the Lord is my pride). This aligns perfectly with Proverbs 14:27: "The fear of the Lord is a fountain of life, turning one away from the snares of death." The repeated assertion that knowing God is her strength ("Kumjua Mungu ndio jeuri yangu") underscores the transformative power of a relationship with the Almighty, as highlighted in Philippians 4:13: "I can do all this through him who gives me strength." The recurring motif of being "Mawindoni" (in the hunt, or in the pursuit) and the ultimate goal of "Mungu atakaponitwalia utukufu" (until God grants me glory) reinforces the idea of a life lived in pursuit of divine purpose and destined for eternal reward, a theme woven throughout the New Testament, particularly in the Apostle Paul's descriptions of striving for the heavenly prize. The concluding declarations of being a "champion" and a "winner" are not mere boasts but affirmations of the victory already secured through faith in Christ, as seen in 1 Corinthians 15:57: "But thanks be to God! He gives us the victory through our Lord Jesus Christ." Overall, "Simba" is a vibrant testament to the enduring power of faith and the certainty of triumph when one stands firmly rooted in God's promises.

Loading...
In Queue
View Lyrics