Walter Chilambo - Nitakase Lyrics
Lyrics
Kuna wakati tunapitia mambo magumu Nakujiona kwamba tunayaweza wenyewe Kuna wakati yakitulemea twalaumu Nakukufuru Mungu kumbe ni sisi wenyewe
Kuna wakati akili na mawazo yetu Tunakusahau wewe tunavipa kipaumbele Sikwamba huoni haya tunayofanya si sawa Unatutazama kwa huruma
Vipi nikushukuru kwa nämna gani nikufae Nami ukanifanye nuru ya ulimwengu na ikang'ae Kwa maana umesema heri mtu yule Asiyekwenda katika shauri la wasio haki Bali sheria yako bwana
Unitengeneze niumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Unitengeneze uniumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Bali sheria yako bwana
Najua me nikiumbe dhaifu tu basi Basi angalau na mimi nikupendeze wewe Nilingane na wewe hata kwa machache tu Niwakumbushe na wengine ili wajue upo Maana kumeharibika
Tunaangamia kwa kukosa maarifa Hakuna upendo ule umetufundisha Wanadamu tumebadilika tumekuwa wabaya Tumesahau kwamba upo Tumesahau wewe upo Yani kama hatuoni vile
Vipi nikushukuru kwa nämna gani nikufae Nami ukanifanye nuru ya ulimwengu na ikang'ae Kwa maana umesema heri mtu yule Asiyekwenda katika shauri la wasio haki Bali sheria yako bwana
Unitengeneze uniumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Bali sheria yako bwana Unitengeneze uniumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Bali sheria yako bwana
Vipi nikushukuru kwa nämna gani nikufae Nami ukanifanye nuru ya ulimwengu na ikang'ae Kwa maana umesema heri mtu yule Asiyekwenda katika shaur la wasio haki Bali sheria yako bwana ikang'ae
Video
Walter Chilambo - Nitakase (Official Lyric Video)