Walter Chilambo - Nitakase Lyrics

Album: Ushuhuda
Released: 16 May 2022
iTunes Amazon Music

Lyrics

Kuna wakati tunapitia mambo magumu Nakujiona kwamba tunayaweza wenyewe Kuna wakati yakitulemea twalaumu Nakukufuru Mungu kumbe ni sisi wenyewe

Kuna wakati akili na mawazo yetu Tunakusahau wewe tunavipa kipaumbele Sikwamba huoni haya tunayofanya si sawa Unatutazama kwa huruma

Vipi nikushukuru kwa nämna gani nikufae Nami ukanifanye nuru ya ulimwengu na ikang'ae Kwa maana umesema heri mtu yule Asiyekwenda katika shauri la wasio haki Bali sheria yako bwana

Unitengeneze niumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Unitengeneze uniumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Bali sheria yako bwana

Najua me nikiumbe dhaifu tu basi Basi angalau na mimi nikupendeze wewe Nilingane na wewe hata kwa machache tu Niwakumbushe na wengine ili wajue upo Maana kumeharibika

Tunaangamia kwa kukosa maarifa Hakuna upendo ule umetufundisha Wanadamu tumebadilika tumekuwa wabaya Tumesahau kwamba upo Tumesahau wewe upo Yani kama hatuoni vile

Vipi nikushukuru kwa nämna gani nikufae Nami ukanifanye nuru ya ulimwengu na ikang'ae Kwa maana umesema heri mtu yule Asiyekwenda katika shauri la wasio haki Bali sheria yako bwana

Unitengeneze uniumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Bali sheria yako bwana Unitengeneze uniumbie moyo safi Unitakase nikupendeze wewe Bali sheria yako bwana

Vipi nikushukuru kwa nämna gani nikufae Nami ukanifanye nuru ya ulimwengu na ikang'ae Kwa maana umesema heri mtu yule Asiyekwenda katika shaur la wasio haki Bali sheria yako bwana ikang'ae

Video

Walter Chilambo - Nitakase (Official Lyric Video)

Thumbnail for Nitakase video
Loading...
In Queue
View Lyrics