Goodluck Gozbert - Wakalale Lyrics

Lyrics

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Dunia, dunia haina huruma Machozi unalia unapoteza bure Hebu tazama wanaokusema  Hawana kazi unaitesa bure bure

Ukitazama maendeleo yao Umewazidi mbali unajisumbua bure, bure Wewe subiri, subiri jua lizame Vinywa vitoke usihangaike nao ooh

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Safina safina ilipokamilika Waliiona na bado hawakuamini Wewe ni nani waamninishe haraka Funga kufuli usishughulike nao

Ila ukisikia Nuhu tufungulie Ujue sasa ameshakwisha tenda

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Mamlaka uliyo nayo, ni makubwa kupita yao Sasa machozi ya nini komesha komesha Waleo wanaokorofisha kazini kwako aisee Tuwape wiki au mwezi wataondoka bwana

Usiwatese waliokombolewa Wana mihuri, mihuri ya mbingu Wacha taratila, kusingizia uongo Mungu akishuka tusilaumiane

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Sema mama sema, maliza kabisa sema Sema mama sema nitakaa kimya Sema baba sema, chafua kabisa sema Chafua sana sema, nitakaa kimya

Aah aah, eeh eeh Eeh eeh, eeh eeh

Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale

Video

Wakalale

Thumbnail for Wakalale video
Loading...
In Queue
View Lyrics