Goodluck Gozbert - Wakalale Lyrics
Lyrics
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Dunia, dunia haina huruma Machozi unalia unapoteza bure Hebu tazama wanaokusema Hawana kazi unaitesa bure bure
Ukitazama maendeleo yao Umewazidi mbali unajisumbua bure, bure Wewe subiri, subiri jua lizame Vinywa vitoke usihangaike nao ooh
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Safina safina ilipokamilika Waliiona na bado hawakuamini Wewe ni nani waamninishe haraka Funga kufuli usishughulike nao
Ila ukisikia Nuhu tufungulie Ujue sasa ameshakwisha tenda
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Mamlaka uliyo nayo, ni makubwa kupita yao Sasa machozi ya nini komesha komesha Waleo wanaokorofisha kazini kwako aisee Tuwape wiki au mwezi wataondoka bwana
Usiwatese waliokombolewa Wana mihuri, mihuri ya mbingu Wacha taratila, kusingizia uongo Mungu akishuka tusilaumiane
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Sema mama sema, maliza kabisa sema Sema mama sema nitakaa kimya Sema baba sema, chafua kabisa sema Chafua sana sema, nitakaa kimya
Aah aah, eeh eeh Eeh eeh, eeh eeh
Wacha wakalale, wakishasema wakale Wacha wakalale alafu Mungu atawale
Video
Wakalale